LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,216
Mvua iliyonyesha jana hapa Jijini Arusha na hata pembezoni mwa mji imeleta maafa ya watoto watatu wa familia moja ya Mbayana Loshilaa anayeishi Wilaya Arumeru Mashariki Kata ya Mwandet karibu kbs na Shule ya Msingi Mwandeti kufariki.
Mvua ilianza majira ya saa kumi kasoro jana jioni na hao watoto walikuwa wanachunga na mara mafuriko yakaja na ndipo mmoja kt ya hao marehemu akataka kuvuka aende ng'ambo ya pili na hapo maji yalimpiga mweleka na hao wawili baada ya kumwona mwenzao hivyo wakaamua kutaka kumwokoa ndg yao na ndipo na wao wakawa njia moja na kati ya hao watoto wana umri wa miaka 12,14 na 15 na MUNGU awalaze mahala pema peponi watoto wasio na hatia.
Na wawili wamezikwa leo na mmoja atazikwa kesho!
Inasikitisha sana!
Mvua ilianza majira ya saa kumi kasoro jana jioni na hao watoto walikuwa wanachunga na mara mafuriko yakaja na ndipo mmoja kt ya hao marehemu akataka kuvuka aende ng'ambo ya pili na hapo maji yalimpiga mweleka na hao wawili baada ya kumwona mwenzao hivyo wakaamua kutaka kumwokoa ndg yao na ndipo na wao wakawa njia moja na kati ya hao watoto wana umri wa miaka 12,14 na 15 na MUNGU awalaze mahala pema peponi watoto wasio na hatia.
Na wawili wamezikwa leo na mmoja atazikwa kesho!
Inasikitisha sana!