Rejao matokeo ya Arumeru vipi? Maana mara ya mwisho ulisema tusubiri ya vijijini? Vp ushayapata uyajumuishe?
Kumbe mtoto wa maghorofani wewe?
pole upo hall ii?
Hahahahahahaaaaa
Rejao matokeo ya Arumeru vipi? Maana mara ya mwisho ulisema tusubiri ya vijijini? Vp ushayapata uyajumuishe?
Kumbe mtoto wa maghorofani wewe?
pole upo hall ii?
Ni kwa nini kunakuwa na foleni mbaya Dar kila mvua ikinyesha?
Ni sawa na kunakokuwa na foleni mbaya huko kwa wenzetu wakati snow inavyoanguka!.Ni kwa nini kunakuwa na foleni mbaya Dar kila mvua ikinyesha?
Polisi pia wanaikimbia mvua...madereva wanajiendeshea wanavyojisikia. Unakuta gari zimefungana kwenye kila junctionni kwa sbb barabara za mitaani haitumiki kama mvua ikinyesha...zinakuwa n madimbwi, ivo kila mtu anakimbilia barabara kubwa...vilevile barabara zikiwa na maji kwenye madimbwi watu hawajiachii kivile katika kuendesha magari yao...hence...foleni..
foleni ndo uchumi wakua huo!
Labda badala ya kunyesha maji, inanyesha magari...lozNi kwa nini kunakuwa na foleni mbaya Dar kila mvua ikinyesha?