Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto anaweza kuchezea mayonyo ya mama lakini siyo korodani za baba
uke:OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOPS!!!!!!!!!!!!!!!!
Hakuna cha ajabu hapa kama wewe ni mgeni wa Dar es salaam waweza shangaa.
Mzee nimekusoma, kumbe ulitembelea mitaa ya mbezi beach. Hilo eneo linaitwa samaki wabichi na hilo ndio bwawa lao. lol!
Nyamayao, hapo ni nje ya mji inia ktk ya mji ndio kasheshe ndiko hakufai kabisa Posta hakuna sehemu ya wapita kwa miguu maji ya mejaa magari yenyewe yana pita kwa taabu. kariakoo ndio balaa kabisaa!.... Hii yote inatokana na kutokuwepo kwa miundombinu ya kutoshahivi jamani hii nchi ipoje? hapo dar ndio kila kitu lakini jiji lenyewe ndio hilo...kha.
Hapo vipi kama unabajaji lako?
Nyamayao, hapo ni nje ya mji inia ktk ya mji ndio kasheshe ndiko hakufai kabisa Posta hakuna sehemu ya wapita kwa miguu maji ya mejaa magari yenyewe yana pita kwa taabu. kariakoo ndio balaa kabisaa!.... Hii yote inatokana na kutokuwepo kwa miundombinu ya kutosha
Ni Mbezi Beach eneo la Samaki wa bichi bara bara ya kuelekea goba na Mbezi Luis.heee poleni sana, kama nje ya mji kupo hivyo bac tena, hapo ni nje ya mji sehemu gani ma bro? jamani dar kazi ipo, kukiwa na jua tabu mvua tabu mie hilo jiji limenishinda.
.Mzee nimekusoma, kumbe ulitembelea mitaa ya mbezi beach. Hilo eneo linaitwa samaki wabichi na hilo ndio bwawa lao. lol!
Hapa ni mitaa ya Mikocheni....maji kibao yaani utafikiri tumekuwa mamba!
.
Wajemeni, hii ndio mitaa yangu, ama kweli kufa kufaana, leo tayari watu wa mikokoteni wanaosubirigi tenda za kubeba matofani, wamepiga kambi hapo, kuvushwa 200/=.
Hapo jirani kuna baa maarufu ya Bamboo, huwezi amini, maji yakipungua tuu, yanaacha tope zito, lakini wateja wake hawahami baa hiyo, huja kwa wingi kama kawaida, kuingia kupitia matofali yalipangwa ili wasikanyage tope, kisa, eti wanafata huduma!.