Liganga
Senior Member
- Jul 4, 2007
- 165
- 125
Kwa haraka kabisa
Ningependa kujua kama hii meli na manaodha wake walituma any distress signal or performed SOS.
Je walikuwa na facility hizi on board?
Je vyombo vyetu vingine vina uwezo wa kutambua hizi signal?
Achilia vile vya kimataifa as vyenyewe huwa kule kwenye maji makuu karibu na Pemba.Nimeona baadhi ya picha meli ikiwa mgongon juu, je abiria wetu wanafahamu kuhusu namna ya kutuma SOS? Au haya yote uachiwa manaodha na crew. Kama boti ilibaki mgongo juu na nimeona baadhi abiria wakiwa juu ya mgongo wangeweza kutap au kupiga piga hilo bodi la meli kwa taratibu huku kila piga likiachana sekunde tatu hadi tano na ingekuwa rahisi msaada kuwafikia. Naomba tuanze kujikita katika kuelimisha watu juu ya namna ya kufanya kupata msaada majini na si kuweka life vest tu.
Pia tutumie mitandao kama AIS ambayo utoa position na path za meli yoyote tena ni bure hii itawezesha monitoring
kwa kiwango kikubwa. Mamlaka zilazimishe wamiliki kufunga modern navigational equipment zinazotoa fursa ya kutrack vyombo in real time
Ningependa kujua kama hii meli na manaodha wake walituma any distress signal or performed SOS.
Je walikuwa na facility hizi on board?
Je vyombo vyetu vingine vina uwezo wa kutambua hizi signal?
Achilia vile vya kimataifa as vyenyewe huwa kule kwenye maji makuu karibu na Pemba.Nimeona baadhi ya picha meli ikiwa mgongon juu, je abiria wetu wanafahamu kuhusu namna ya kutuma SOS? Au haya yote uachiwa manaodha na crew. Kama boti ilibaki mgongo juu na nimeona baadhi abiria wakiwa juu ya mgongo wangeweza kutap au kupiga piga hilo bodi la meli kwa taratibu huku kila piga likiachana sekunde tatu hadi tano na ingekuwa rahisi msaada kuwafikia. Naomba tuanze kujikita katika kuelimisha watu juu ya namna ya kufanya kupata msaada majini na si kuweka life vest tu.
Pia tutumie mitandao kama AIS ambayo utoa position na path za meli yoyote tena ni bure hii itawezesha monitoring
kwa kiwango kikubwa. Mamlaka zilazimishe wamiliki kufunga modern navigational equipment zinazotoa fursa ya kutrack vyombo in real time