WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Meli hii inayosafiri kati ya Unguja na Pemba inawaka moto..............
Uhakika kabisa... ila kumbe haikuwa na watu... ina capacity kubeba abiri ahadi 800! Imagine kama ndo ingekuwa imeshabeba abiria iko safarini...
Try to be +ve! Think +ve!WOS; ni tetesi au uhakika, kama ni kweli vipi ilikuwa gati au ilikuwa njiani? kuna vifo?
Uhakika kabisa... ila kumbe haikuwa na watu... ina capacity kubeba abiri ahadi 800! Imagine kama ndo ingekuwa imeshabeba abiria iko safarini...
I can only imagine!Uhakika kabisa... ila kumbe haikuwa na watu... ina capacity kubeba abiri ahadi 800! Imagine kama ndo ingekuwa imeshabeba abiria iko safarini...
Ilikuwa bandarini ikiwa inaandaa kupakia mizigo.. inawezekana ni technical fault..sijapata details vizurioh my my...unaweza kujua chanzo ni nini?
Ilikuwa bandarini ikiwa inaandaa kupakia mizigo.. inawezekana ni technical fault..sijapata details vizuri
Uhakika kabisa... ila kumbe haikuwa na watu... ina capacity kubeba abiri ahadi 800! Imagine kama ndo ingekuwa imeshabeba abiria iko safarini...