BREKING NYUUUUUZZZZZ: meli ya mv Serengeti inawaka moto
Habari zilizotufikia hivi punde,ni kwamba Meli ya Mv Serengeti iliyokuwa ikifanya safari zake ndani ya Bahari ya Hindi,inawaka moto sasa hivi katika bandari ya Zanzibar ilipokuwa ikitaka kuondoka kuelekea Pemba.Aidha Kikosi cha zima moto Zanzibar kimewasili eneo la tukio kikifanya juhudi za kuuzima moto huo.Kwa habari zaidi na picha tuvute subra kidoogo.!!
Source: Michuzi Blog
Source: Michuzi Blog