MV Serengeti Yawaka Moto Bandarini ZNZ

Mafuchila

JF-Expert Member
Apr 29, 2006
751
65
BREKING NYUUUUUZZZZZ: meli ya mv Serengeti inawaka moto
Habari zilizotufikia hivi punde,ni kwamba Meli ya Mv Serengeti iliyokuwa ikifanya safari zake ndani ya Bahari ya Hindi,inawaka moto sasa hivi katika bandari ya Zanzibar ilipokuwa ikitaka kuondoka kuelekea Pemba.Aidha Kikosi cha zima moto Zanzibar kimewasili eneo la tukio kikifanya juhudi za kuuzima moto huo.Kwa habari zaidi na picha tuvute subra kidoogo.!!
Source: Michuzi Blog
 
BREKING NYUUUUUZZZZZ: meli ya mv Serengeti inawaka moto

Habari zilizotufikia hivi punde,ni kwamba Meli ya Mv Serengeti iliyokuwa ikifanya safari zake ndani ya Bahari ya Hindi,inawaka moto sasa hivi katika bandari ya Zanzibar ilipokuwa ikitaka kuondoka kuelekea Pemba.Aidha Kikosi cha zima moto Zanzibar kimewasili eneo la tukio kikifanya juhudi za kuuzima moto huo.Kwa habari zaidi na picha tuvute subra kidoogo.!!

Source: Michuzi Blog
maskiniiiiiiiiiiiiii. duuuu.
 
Taifa lisililojiandaa kwa majanga...
.
Kufuatia ile ajali nyingine ya moto bandarini Zanzibar kipindi kifupi kilichopita, I belive they learnt their lesson, this time things, will never be the same again.

Lets hope for the best.
Tusubiri update na tuwapongeze kwa kazi nzuri.
 
.
Kufuatia ile ajali nyingine ya moto bandarini Zanzibar kipindi kifupi kilichopita, I belive they learnt their lesson, this time things, will never be the same again.

Lets hope for the best.
Tusubiri update na tuwapongeze kwa kazi nzuri.

Uwapongeze kwa lipi wakati hata update hujapata vipi Pasco.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom