Mv mapenzi

Mary Chuwa

Senior Member
Feb 24, 2011
177
40
Wanajamvi habari zenu,kwa kweli huu wimbo niliupenda toka nikiwa mdogo,na nimekuwa nikiuimba kwa kukosea kosea ila ujumbe wake kwa kweli ni funzo. kama kuna mwenye kuufahamu woote naomba anipatie

MV mapenzi,
Meli ya wapendanao,
Moyo kama Bahari,
Manahodha mimi na wewe,


Duniani kuna mengi sawasawa na bahari
Kuna papa ,nyangumi tena wale wa hatari
Hawapendi kuiona meli yetu baharini
Watafanya kila njia waifupishe safari


Tafadhali naomba msaada wa wimbo huo
 
Enzi zileeeeee tunatoka shule saa nane kuwahi ugali na maharage home, njiani utasikia viredio vya watu. nyimbo za zamani zilikuwa nzuri sana. subiri wazee wa you tube wakuwekee link
 
Enzi zileeeeee tunatoka shule saa nane kuwahi ugali na maharage home, njiani utasikia viredio vya watu. nyimbo za zamani zilikuwa nzuri sana. subiri wazee wa you tube wakuwekee link

Wakati huo tushashindilia mihogo ya mama salama tunakatiza mabwawa saba huku tukiogopa miraji atatokea lol nimekumbuka mbali sana
 
Wakati huo tushashindilia mihogo ya mama salama tunakatiza mabwawa saba huku tukiogopa miraji atatokea lol nimekumbuka mbali sana

Raha ya miziki hii ya zamani kila mtu alikuwa amekariri basi si kuimba huko mpaka sasa imekaa kichwan
 
We acha tu naukumbuka japo nilikuwa mdogo sana nimeimbiwa na mtu,imebidi nimtumie mtu kaniimbia kwenye simu lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom