MV Kikwete inazama?

Amesema hawezi kusubiri = mwisho wake wa kusubiri huyu mkwere ni akiwa kaburini huyu
na kwa hiyo hana lolote la kusema kuhusu mafisadi wala nini, kwani yeye na Rostam ndio Kagoda sasa aseme nini?
 
Mkwere mwana maigizoo......huyoo hana jipya kabisa...asubiri 40 zake atoke kwa aibu zake...
 
Lini ataanza kuwa rais na jemedari mkuu?

People, give a brother some chance, geez!, why are guys so negative?
Give him more chance to prove his case, watch him, and then judge him from there. Don't just jump into conclusion. Who doesn't want to leave a good example in their lives and accomplishments? whoever did that ni MJINGA!

GO PRESIDENT KIKWETE, GO!

Hata wote wakukane, you have my full support!

KIKWETE 2010!
 
Kui u r right.
We can't judge now. We have to see the implementation of what has been spoken first, then we will have something to say after the implementation.
 
People, give a brother some chance, geez!, why are guys so negative?
Give him more chance to prove his case, watch him, and then judge him from there. Don't just jump into conclusion. Who doesn't want to leave a good example in their lives and accomplishments? whoever did that ni MJINGA!

GO PRESIDENT KIKWETE, GO!

Hata wote wakukane, you have my full support!

KIKWETE 2010!

Join Date: Mon Mar 2009
Posts: 14
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0

Credits: 581

Great, give him all your support. Why not, that's what you joined JF to do! May be paid to do as well!:rolleyes:
 
Join Date: Mon Mar 2009
Posts: 14
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0

Credits: 581

Great, give him all your support. Why not, that's what you joined JF to do! May be paid to do as well!:rolleyes:

They are trying really hard now! Trying to buy and plant, but they should better remember they cannot full all people all the time, they are running out of time, steam and ideas!!
 
Kui u r right.
We can't judge now. We have to see the implementation of what has been spoken first, then we will have something to say after the implementation.

Somebody might as well be stabbing you while reciting the poetic stanzas of Shaaban Robert, and you could very easily be saying "give a brother a chance to implement his poetic stanzas"

If the analogy id flawed, it is because with Kikwete you don't even get the poetic stanzas, only the knife stabbing.
 
Mwalimu Moshi, kuna kila dalili ya Mv Kikwete kuzama, ili kukinusuru chombo kuzama nahodha[jk] anatakiwa kutupupa baadhi ya mizigo baharini ili chombo kifike salama pwani

Akichelewa kuchukua maamuzi mdhara yake yaweza kuwa makubwa

Na akishindwa kutupa watu majini basi ajitose yeye ili mwenye uwezo wa kunusuru chombo atake over
 
Somebody might as well be stabbing you while reciting the poetic stanzas of Shaaban Robert, and you could very easily be saying "give a brother a chance to implement his poetic stanzas"

If the analogy id flawed, it is because with Kikwete you don't even get the poetic stanzas, only the knife stabbing.

Kiranga, I like that. I like it very much.

Mzee ES, Mkandara and others: we started this conversation a while ago. Have your views changed? History, I submit, has absolved us. I would like to know whether you disagree with that claim.
 

Kiranga, I like that. I like it very much.

Mzee ES, Mkandara and others: we started this conversation a while ago. Have your views changed? History, I submit, has absolved us. I would like to know whether you disagree with that claim.
Mwalimu Moshi,
Ulipotelea wapi?
 
Jk ashasema magufuri ndiye jibu la mitiani ya kikwete cha kushangaza ameferi mitiani yote, na magufuri kila siku anafanya masahihisho naye anaferi, ccm ni watu wa kuferi, feri naona na mwiguru ameanza kuigiza maferia ameanza na pushap naye hapo wizarani kaferi wale wa escrow awajapeleka tozo tra
 
Mwalimu Moshi,
Ulipotelea wapi?

Jasusi (what a name!) sijapotea, nipo, na hapa JF nakuja kila ninapopata nafasi. Nitakuwepo Dar soon (Ninakuwepo kila Noeli), na kama si nongwa basi tukutane. I roam the whole of Mbezi Beach.

Sasa huyu ndugu yetu aliyesema aliamua kuwa na baraza kubwa la mawaziri kwa ajili ya "program aliyokuwa nayo", anatuachaje?
 
si kwa kukukatisha tamaa lakini umechelewa, ungemwambia hata mwaka jana au juzi.
 
Mwelekeo wa uchumi wa Tanzania baada ya miezi 3 ya utawala wa Rais Kikwete ni mbaya kuliko tulivyohofia! Quartely Econmic Review iliyofanywa na BoT pamoja na wanauchumi wengine wa Afrika Mashariki inaonyesha hali ya umbio wa kudorora uchumi ambao kasi yake ni zaidi ya mategemeo ya watu wote.

JK hana dira ya kupambana na energy crisis iliyojitokeza. Athari zake bado zinaongezeka, na haelekei kujihusisha kikweli na kutafuta jibu.

JK alipokea nchi ambayo uchumi wake ulikuwa unakuwa vizuri, na kasi ya kukua kwake ilikuwa inaongezeka kila mwaka, hata kukiwepo ukame. Alikabidhiwa taifa lenye GDP growth rate ya 7% na ambayo ilikadiriwa kufikia 7.2% mwaka huu. Chini ya uongozi wake, GDP growth rate hiyo imeshuka hadi kufikia 5.8%, na inazidi kushuka.

JK alikabidhiwa taifa lenye inflation rate ya 4%, na kwa kipindi kifupi tu ameiacha ikapanda hadi kufikia 5% sasa, na mwelekeo ni kuongezeka siku za karibuni hadi 6%.

Baraza kubwa la mawaziri wa JK na matumizi yao mabaya yameongeza quartely government spending kwa kiasi cha sh. 157 billion. Hizo ni fedha nyingi sana kwa nchi kama yetu.

Interest rate za Treassury bills zilikuwa 10.4% wakati JK anachukua nchi. Sasa zimefika 14.8%. Hii ni rate kubwa sana (linganisha na Kenya ambapo interest rate on Tbills ni 6.7% only).

Serikali ya JK imetumia fedha nyingi sana, lakini wakati huo huo imepunguza matumizi kwenye vitu muhimu kama mikopo ya wanafunzi! UDSM watoto wanahaha njaa kutokana na kutopewa mikopo.

Kinachoogopesha zaidi ni ukweli kwamba hadi sasa, JK amekuwa na maneno mengi lakini matendo hakuna. Anatoa ahadi kibao, lakini maswala muhimu kama mikakati ya kushughulikia tatizo la umeme (and energy as a whole), na inflation, hana muda nayo.

Ndege ya JK ni nzuri, lakini sio lazima aruke nayo kila siku. Atulie ofisini kidogo ajenge VISION ya namna ya kuongoza nchi.

Kwa maoni yangu, JK angepashwa kuendelea kuwategemea Kigoda na Mramba waongoze uchumi wetu. They have a vision while he doesn't. Hao Waswahili anaoambatana nao hawana dira ya maendeleo! Wanatupeleka kwenye umasikini zaidi na zaidi.

Augustine Moshi


Heshima yako Mkuu .........................!!!
 
Mzee Moshi,

Hiyo ndege ilinunuliwa na nani? pamoja na Radar?

Nashangazwa sana na watu kama wewe mnaopenda kubatilisha ukweli.

Hata kama hiyo ndege hakununua yeye, tunafahamu raisi kama taasisi lazima awe na usafiri wake, ndiyo maana ikanunuliwa na watangulizi wake.

Safari moja ya raisi ni gharama kubwa sana.Hoja hapa ni kuwa raisi aliyepo madakani kafanya safari nyingi sana zisizo na sababu wa tija kwa taifa zikihusisha gharama kubwa.

Watangulizi wake hawa kufanya hivyo ingawa nafasi ya kufanya hivyo walikuwa nayo. Waliweka maslahi ya Taifa mbele , muda mwingi walikuwepo nchini kushughurika na matatizo ya wananchi.
 
Watu kama nyinyi wenye maono makubwa kiasi hiki ni wachache sana, tokea 2006 umeyaona haya? Wewe ni zaidi ya Marehemu Yahya Husein.

Hebu umelisaidia kitu gani zaidi taifa hili kwa mara nyingine tena? Tuambie mambo tunayoyategemea huko mbele maana ya Kikwete yameisha.
 
Back
Top Bottom