Rais ataongoza rambirambi... !!!
yaani nnchi hii aacha tu, napiga simu pale kitengo cha maafa kutoa taarifa hizi zaidi ya nusu saa simu hazipokelewi, napiga Wizara ya miundo mbinu hapa mwanza na ofisi za ujenzi wanadai wanashughulikia swala hilo, ngoja niende kule bandarini nijue japo juhudi gani zinachukuliwa kuokoa hili janga lilikua jirani nasi.
Jamali Rwambo kasema hali ni shwari kabisa
yaani nnchi hii aacha tu, napiga simu pale kitengo cha maafa kutoa taarifa hizi zaidi ya nusu saa simu hazipokelewi, napiga Wizara ya miundo mbinu hapa mwanza na ofisi za ujenzi wanadai wanashughulikia swala hilo, ngoja niende kule bandarini nijue japo juhudi gani zinachukuliwa kuokoa hili janga lilikua jirani nasi.
Hakika habari hizi ni za kusikitisha sana maana kama ni kweli basi Mungu asaidie kuona kama ndio hivyo. Hivi ofisi ya Maafa ya waziri Mkuu wanafanya nini??