Habari wanajf. Kumekuwa na utamaduni wa kupiga muziki mkubwa kwenye misiba sehemu nyingi mijini na vijijini, ikitokea msiba wafiwa wanataka muziki ukodishwe ili wakeshe. Je huu utamaduni niwetu na nini faida yake? NB. Katika pitapita zangu hii cjaiona kwenye misiba ya kiislam.