dottoz
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 1,510
- 868
Hawa Baraza la mitihani mbona hawana huruma kabisa,unaweza ukafa ukazimia ukiona umepata C-2(Credit 2)afu umekoswa 1 tu kwenda form 5 jamani hii inauma sana tena sana yan ni bora wange2hurumia 2 kwa wale 2liopata Credt 2 waka2wekea 1 ili 2endelee moja kwa moja co kureseat..