Muwe makini na Wahitimu wa vyuo hivi

Kamongo

JF-Expert Member
Mar 20, 2009
1,957
2,068
Napenda kuwajulisha watanzania wenzangu kwamba tuwe makini na wahitimu wa University Computing Centre-Mwanza Branch na Instititute of Accountancy Arusha kwani kwenye vyuo hivi viwili kuna watu wengi wanajiunga wakitumia vyeti feki au vyeti vya ndugu zao,na ushaidi tunao tunaomba uongozi wa vyuo hivi wawe makini wanapofanya selection
 
mzee ninachoamini ni kwamba mtu anapoingia chuo kwa cheti cha mwenzake ikiwa yeye hana uwezo basi lazima ataumbuka hapo katikati. mtu huyu akiweza kumaliza na kuifanyia kazi inavyotakiwa profession aliyoisomea bila malalamiko ya watu wanaomzunguka basi hatuna budi kuitumia taaluma ya huyu mtu ili kuliendeleza taifa letu.
Hayo uliyoyaandika hapo juu me nayaona kama majungu tuu pia inaonyesha ni jinsi gani shule yako ina utata au mlipeleka vyeti feki wengi chakwako kikashtukiwa wengine wakaingia sasa ndo unataka kuchafua majina ya vyuo.

Kaka kwanza unatakiwa kuelewa enrolment ya vyuo vya elimu ya juu sio kama ya chekechea baada ya kuchaguliwa na chuo husika kuna taasisi nyingine maalum inayopitia tena majina na uwezo wa kielimu walionao wahusika (TCU)

acha mboke kaka fanya kazi utaingiliwa na umasikini
 
Swala la vyeti feki ni kosa la jinai, kama wamjua alipata usajili kwa mtindo huo ni vema kumripoti panapohusika badala ya kuharibia wale wanaliosoma na wanaoendelea kusoma katika vyuo hivi. Hapa ni case by case, samaki mmoja akioza haiwezi kufanya kazi katika mazingira kama haya. Wote tunawajibika kupambana na hawa wapenda dezo wanaofanya mchezo huu mchafu kwa gharama yeyote.
 
mzee ninachoamini ni kwamba mtu anapoingia chuo kwa cheti cha mwenzake ikiwa yeye hana uwezo basi lazima ataumbuka hapo katikati. mtu huyu akiweza kumaliza na kuifanyia kazi inavyotakiwa profession aliyoisomea bila malalamiko ya watu wanaomzunguka basi hatuna budi kuitumia taaluma ya huyu mtu ili kuliendeleza taifa letu.
Hayo uliyoyaandika hapo juu me nayaona kama majungu tuu pia inaonyesha ni jinsi gani shule yako ina utata au mlipeleka vyeti feki wengi chakwako kikashtukiwa wengine wakaingia sasa ndo unataka kuchafua majina ya vyuo.

Kaka kwanza unatakiwa kuelewa enrolment ya vyuo vya elimu ya juu sio kama ya chekechea baada ya kuchaguliwa na chuo husika kuna taasisi nyingine maalum inayopitia tena majina na uwezo wa kielimu walionao wahusika (TCU)



acha mboke kaka fanya kazi utaingiliwa na umasikini


Kumbe pia admissions za Institute of Accountancy Arusha zinapitiwa na TCU!
 
mzee ninachoamini ni kwamba mtu anapoingia chuo kwa cheti cha mwenzake ikiwa yeye hana uwezo basi lazima ataumbuka hapo katikati. mtu huyu akiweza kumaliza na kuifanyia kazi inavyotakiwa profession aliyoisomea bila malalamiko ya watu wanaomzunguka basi hatuna budi kuitumia taaluma ya huyu mtu ili kuliendeleza taifa letu.
Hayo uliyoyaandika hapo juu me nayaona kama majungu tuu pia inaonyesha ni jinsi gani shule yako ina utata au mlipeleka vyeti feki wengi chakwako kikashtukiwa wengine wakaingia sasa ndo unataka kuchafua majina ya vyuo.

Kaka kwanza unatakiwa kuelewa enrolment ya vyuo vya elimu ya juu sio kama ya chekechea baada ya kuchaguliwa na chuo husika kuna taasisi nyingine maalum inayopitia tena majina na uwezo wa kielimu walionao wahusika (TCU)
Mau,
Sina hakika kama unauzoefu wa kutosha na taasisi za Elimu. Tatizo lililowakilishwa lipwa si kwa vyuo tajwa tu bali karibu vyuo vyote vya NACTE na vile viliopo chini ya TCU. Kumaliza kwa kutumia vyeti vya kuforge hakujastify short cut ya kusoma. Vinginevyo cheti chako wewe wanaweza kusomea hata watu kumi provided tu wakimaliza hakuna shaka. Nadhani ni lazima tuwe na mfumo utakaodhibiti UCHAFU huu kwenye elimu. Tutaforge mpaka lini??
 
Mnamatatizo sana, mimi nadhani serkali imeweka watu kwa kuwaamini ambao wanaangalia na kukagua vyeti vya wanafunzi kabla hawajajiunga chuo chochote.Sasa leo utasemaje kuwa huwaamini watu hao,waliopewa hiyo kazi.
Acheni majungu fanyeni kazi ongezeni kipato, waachie waliopewa hiyo kazi ya kukagua vyeti wafanye kazi yao.Why watanzania hatuaminiani kwenye kazi?.Mwenzako kapewa kazi ya kukagua vyeti na serikali leo unasema humwamini ni vipi.Piga kazi songa mbele, waza maisha yako yakoje tangia umemaliza shule unamafanikio, au unatumika tuuu.Na kama unatumika tu, hamna mafanikio tafuta kazi pengine, kama alivyosema mchangiaji mmoja,ukifoji vyeti hutafika mbali, utaishia njiani.
"Acheni wafanye kazi yao na tuwaamini bwana"
 
Mnamatatizo sana, mimi nadhani serkali imeweka watu kwa kuwaamini ambao wanaangalia na kukagua vyeti vya wanafunzi kabla hawajajiunga chuo chochote.Sasa leo utasemaje kuwa huwaamini watu hao,waliopewa hiyo kazi.
Acheni majungu fanyeni kazi ongezeni kipato, waachie waliopewa hiyo kazi ya kukagua vyeti wafanye kazi yao.Why watanzania hatuaminiani kwenye kazi?.Mwenzako kapewa kazi ya kukagua vyeti na serikali leo unasema humwamini ni vipi.Piga kazi songa mbele, waza maisha yako yakoje tangia umemaliza shule unamafanikio, au unatumika tuuu.Na kama unatumika tu, hamna mafanikio tafuta kazi pengine, kama alivyosema mchangiaji mmoja,ukifoji vyeti hutafika mbali, utaishia njiani.
"Acheni wafanye kazi yao na tuwaamini bwana"
Waache watu wahoji unaogopa kivuli chako nini? Wanasiasa kuhojiwa sawa, wengine je? kama utendaji ni mbovu lazima vidole vinyooshwe
 
Kwanza naomba heading ya post hii ibadilishwe. Angalau isomeke kukithiri kwa vyeti bandia kwenye vyuo vifuatavyo
Pili, Jamani tusifurahie hii post bila ya kuwa na ushahidi wa haya anayoyasema mwenzetu, huyu jamaa anaweza kuharibia watu wote waliosoma pale bila kujali wana vyeti feki au la. Namuomba kwa heshima na taadhima muweka mada aweke kwanza ushahidi ndio watu wakae waanze kukiponda chuo na products yake.

Mtoa mada akumbuke kuwa hata UDSM, MZUMBE, TUMAINI, SAUT na kwingineko kuna vyeti feki vingi sana lakini sio sahihi kusema kuwa msiwamini wahitimu wa vyuo husika, uko ni kuwanyima wengine soko hata wasiohusika.
 
mzee ninachoamini ni kwamba mtu anapoingia chuo kwa cheti cha mwenzake ikiwa yeye hana uwezo basi lazima ataumbuka hapo katikati. mtu huyu akiweza kumaliza na kuifanyia kazi inavyotakiwa profession aliyoisomea bila malalamiko ya watu wanaomzunguka basi hatuna budi kuitumia taaluma ya huyu mtu ili kuliendeleza taifa letu.
Hayo uliyoyaandika hapo juu me nayaona kama majungu tuu pia inaonyesha ni jinsi gani shule yako ina utata au mlipeleka vyeti feki wengi chakwako kikashtukiwa wengine wakaingia sasa ndo unataka kuchafua majina ya vyuo.

Kaka kwanza unatakiwa kuelewa enrolment ya vyuo vya elimu ya juu sio kama ya chekechea baada ya kuchaguliwa na chuo husika kuna taasisi nyingine maalum inayopitia tena majina na uwezo wa kielimu walionao wahusika (TCU)

acha mboke kaka fanya kazi utaingiliwa na umasikini

Good Comment!!! Huu ni uchafuzi wa sifa za vyuo na kuharibu nafasi za kazi kwa Watanzania wenzetu!!! Huyu sijui Mmbuga wa wapi??? Atoe vielelezo basi amekaa kimya kama aliyefumaniwa na mke wa mtu
 
Acha umbea wa kuharibu majina ya hivyo vyuo,ninawasisi na wewe kwamba la inawezekana ulisoma kwa cheti cha kufoji,acha watu wasome wa kikamatwa wewe hauta kuwepo,pilipili usiyo ila omba kazi PCB,
 
Back
Top Bottom