Napenda kuwajulisha watanzania wenzangu kwamba tuwe makini na wahitimu wa University Computing Centre-Mwanza Branch na Instititute of Accountancy Arusha kwani kwenye vyuo hivi viwili kuna watu wengi wanajiunga wakitumia vyeti feki au vyeti vya ndugu zao,na ushaidi tunao tunaomba uongozi wa vyuo hivi wawe makini wanapofanya selection