William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- According to the dataz nilizozinasa sasa hivi, ni kwamba Muungwana atakuwa njiani kuelekea US taarifa zaidi baadaye!
Respect.
FMEs!
Respect.
FMEs!
Aiuze mara ngapi?duh muungwana anachokifuata hata hatukioni au ndo anataka kuiuza Bongo yetu?maana Kigamboni tayari sasa kaeni macho wakulu hehehe..maoni tu.
Au mngempa kazi ya Mwakilishi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa. He is coming to NY.Ni bora angeomba kazi ya uhudumu wa ndege ingemfaa zaidi!
Ni bora angeomba kazi ya uhudumu wa ndege ingemfaa zaidi!
ndugu mbona unapost ''kibeba-boxi?''....i mean unapost vitu LATE HOURS...kunani?Duh jamaa kwa misele simuwezi.
Hivi kuna mwenye dataz gharama za route moja mungwana akitoka ni kiasi gani walipa kodi wanamlipia? Yawezekana ndo rais wa kwanza Afrika anaye piga misele nchi mbali mbali hapa duniani.
- According to the dataz nilizozinasa sasa hivi, ni kwamba Muungwana atakuwa njiani kuelekea US taarifa zaidi baadaye!
Respect.
FMEs!
Duh jamaa kwa misele simuwezi.
Hivi kuna mwenye dataz gharama za route moja mungwana akitoka ni kiasi gani walipa kodi wanamlipia? Yawezekana ndo rais wa kwanza Afrika anaye piga misele nchi mbali mbali hapa duniani.
Naona anapenda sana kupanda ndege
Huyu inaonyesha retirement itam-boa kinoma, labda awe anapiga misele ya ndani tu
Ni bora angeomba kazi ya uhudumu wa ndege ingemfaa zaidi!
Taarifa nilizonazo ni kwamba wasaidizi wa Rais ndiyo hasa wanaotaka hizi safari na ndiyo wanatafuta justification ya safari hizi all the time; kwa sababu they have a lot to gain.