Sipendi Ubepari
JF-Expert Member
- Jan 12, 2012
- 249
- 40
Bajeti ya ZNZ ni bilioni 600, ni ndogo kuliko bajeti ya elimu ya Tanganyika. Sasa 50/50 hawa watatoa nini?
Bajeti ya usalama na ulinzi ya ZNZ hakuna ndio maana wanang'angania serikali 3 au mkataba. Kama ingekuwepo 50/50 ya bajeti ya ulinzi maana yake ni kuwa ZNZ ingetoa bilioni 400 na kubaki na bilioni 200 kama bajeti.
Msisahau kuwa hawa WZNZ wanachukua mishahara kutoka hazina Dar, hawalipi wabunge, BLW ua viongozi wastaafu. Wote wanalipiwa na Tanganyika, sasa ukisema 50/50 itoke wapi? hawana 50 hawa, wanakinga mkono.
Jiulize kwanini wameacha hoja ya kuvunja muungano wamekomalia serikali 3 au mkataba, wanajua kuwa asilimia 60 ya shuguli za serikali yao zinatoka Tanganyika. Fungueni macho Watanganyika, hapa ni kuliwa tu halafu mnatukanwa na kuchomwa moto.
Jiulize, hivi wewe Mtanganyika unataka muungano wa nini, ukusaidie nini? Hawa wanapenda pesa yako wewe kwao ni Kafir tu.
Waacheni waende zao, kwanini hamuioni mbali zaidi ya pua zenu Watanganyika?
Hatimaye umenishawishi na nimekuunga mkono. Ila 2nd option iwe serikali1