Muungano uwe wa nchi moja

Mzalendo Mkuu

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
735
191
Ndugu Watanzania wenzangu. Jambo lisipingika kuwa hoja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar imo mawazoni mwetu karibu kila siku. Mara Watanganyika wanalalamika na mara nyingi sana Wazanzibari wanalalamika zaidi. Wote hawa wanalalamika kwa kuwa kuna nchi mbili na kila moja anaona mwenzake anapata zaidi.

SULUHU YA MATATIZO YA MUUNGANO ni kuwa na NCHI MOJA TU badala ya nchi mbili kama ilivyo sasa. Kwa kuwa na nchi mbili tumesababisha yafuatayo:
1. Malalamiko yasiyoisha
2. Mgogoro wa CCM na CUF uliodumu kwa miaka zaidi ya 10 hivyo kuzorotesha maendeleo,
3. Kuwepo kwa Serikali mbili ya Muungano (ambayo ndani yake pia ziko mbili(Muungano na Tanganyika)) na ya Zanzibar
4. Uwepo wa viongozi wengi. Tunalazimika kuwa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu bila sababu hivyo kuongeza gharama kubwa kwenye serikali.
5. Nchi moja kulazimika kuendesha mabunge mawili yaani lile la Muungano na lile Baraza la Wawakilishi.
6. Halama za kamati mbalimbali za pamoja za serikali na za vyama mbalimbali.

Kwa ujumla gharama ni kubwa sana zitokanazo na huu mfumo kuliko faida yake. Wakati tunaangali mchakato wa katibu mpya naomba pia tupate nafasi ya kuuangalia hili suala.
 
Wanzanzibar wana mentality kuwa zanzibar ikjitenga inaweza kuwa kama Dubai,Qatar,Oman hivyo wao neno muungano kwao nikama unawawekea kijinga chamoto kwenye kidonda!
 
Eneo la Unguja na Pemba kama ilivyo Mafia kijiografia ni sehemu ya ardhi ya iliyokua Tanganyika...
Pili, asilimia zaidi ya 50 ya wakazi wa Pemba na Unguja asili yao ni kutoka kwa mikoa ya iliyokua Tanganyika, tofauti ya tamaduni imetokana na tawala za kikoloni zilizokuwepo visiwani na bara.
Hivi ushawahi jiuliza kabla ya uvamizi wa Waarabu ni kina nani walikua wakiishi katika visiwa vya Pemba na Unguja?
 
Nilishawai kusema hapa, miungano uliyodumu duniani na kufanikiwa ni Ile ya serikali moja tu. Tusijidangaya na maswala ya serikali mbili, tatu, nk. Zaidi ya serikali moja ni kuendeleza umimi ambayo matokeo yake ni manung'uniko yasiyokwisha. Pia gharama za uendeshaji wa nchi zitakuwa kubwa.

Hata tukiweka serikali tatu haya mambo ya manung'uniko ndiyo yatazidi kuongezeka maana kila serikali itataka ijione yenyewe ndiyo zaidi ya mwingine kwa wale inaowatumikia. Marekani ni Muungano wa nchi zaidi ya 40, wana serikali moja ya kitaifa. Umoja na maendeleo yao ni matokeo ya serikali moja. Iweje sisi tuwe na maserikali utitiri?
 
Ndugu Watanzania wenzangu. Jambo lisipingika kuwa hoja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar imo mawazoni mwetu karibu kila siku. Mara Watanganyika wanalalamika na mara nyingi sana Wazanzibari wanalalamika zaidi. Wote hawa wanalalamika kwa kuwa kuna nchi mbili na kila moja anaona mwenzake anapata zaidi.

SULUHU YA MATATIZO YA MUUNGANO ni kuwa na NCHI MOJA TU badala ya nchi mbili kama ilivyo sasa. Kwa kuwa na nchi mbili tumesababisha yafuatayo:
1. Malalamiko yasiyoisha
2. Mgogoro wa CCM na CUF uliodumu kwa miaka zaidi ya 10 hivyo kuzorotesha maendeleo,
3. Kuwepo kwa Serikali mbili ya Muungano (ambayo ndani yake pia ziko mbili(Muungano na Tanganyika)) na ya Zanzibar
4. Uwepo wa viongozi wengi. Tunalazimika kuwa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu bila sababu hivyo kuongeza gharama kubwa kwenye serikali.
5. Nchi moja kulazimika kuendesha mabunge mawili yaani lile la Muungano na lile Baraza la Wawakilishi.
6. Halama za kamati mbalimbali za pamoja za serikali na za vyama mbalimbali.

Kwa ujumla gharama ni kubwa sana zitokanazo na huu mfumo kuliko faida yake. Wakati tunaangali mchakato wa katibu mpya naomba pia tupate nafasi ya kuuangalia hili suala.

Najua unataka kuwaudhi wazanzibari, hii sio suluhisho, tunahitaji serikali tatu. Hivi mafia ina mjumbe baraza la wawakilishi. Ni Tanzania bara ua visiwani?
 
Nilishawai kusema hapa, miungano uliyodumu duniani na kufanikiwa ni Ile ya serikali moja tu. Tusijidangaya na maswala ya serikali mbili, tatu, nk. Zaidi ya serikali moja ni kuendeleza umimi ambayo matokeo yake ni manung'uniko yasiyokwisha. Pia gharama za uendeshaji wa nchi zitakuwa kubwa.

Hata tukiweka serikali tatu haya mambo ya manung'uniko ndiyo yatazidi kuongezeka maana kila serikali itataka ijione yenyewe ndiyo zaidi ya mwingine kwa wale inaowatumikia. Marekani ni Muungano wa nchi zaidi ya 40, wana serikali moja ya kitaifa. Umoja na maendeleo yao ni matokeo ya serikali moja. Iweje sisi tuwe na maserikali utitiri?

Kwa kweli watananzia tunasahau sana baba wa taifa mwalimu Nyerere alisema nini. Muungano wa serikali mbili kuelekea moja jamani haya mengine yote ni tamaa tu na udini.
 
Kwa kweli watananzia tunasahau sana baba wa taifa mwalimu Nyerere alisema nini. Muungano wa serikali mbili kuelekea moja jamani haya mengine yote ni tamaa tu na udini.

Mwalimu alisema hivyo sawa, watanganyika walisema nini? Wazanzibari walisema nini? Kwani hii ni nchi ya mtu fulani?
 
mawazo hayapigwi rungu

serekali moja haiwezekani kwa sababu katiba ya zanzibar inasema ZANZIBAR NI NCHI NA MIPAKA YAKE kwa mujibu wa katiba ya znz sheria yoyote itakayohitilafiana na katiba hii sheria hiyo itakuwa batili na katiba hii ndio itakayokuwa NA nguvu za kisheria ndio vipengele hivi vimefungwa haviwezi kurekebishwa na baraza la wawakilishi mpaka kwa kura ya maoni (password) ya wazanzibar wakubali.pamoja na mambo mengine ndio SABABU katiba ya muungano kuandikwa upya kwa kuwa inasema tanzania ni nchi moja haina pa kutokea hapo
 
Ndugu Watanzania wenzangu. Jambo lisipingika kuwa hoja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar imo mawazoni mwetu karibu kila siku. Mara Watanganyika wanalalamika na mara nyingi sana Wazanzibari wanalalamika zaidi. Wote hawa wanalalamika kwa kuwa kuna nchi mbili na kila moja anaona mwenzake anapata zaidi.

SULUHU YA MATATIZO YA MUUNGANO ni kuwa na NCHI MOJA TU badala ya nchi mbili kama ilivyo sasa. Kwa kuwa na nchi mbili tumesababisha yafuatayo:
1. Malalamiko yasiyoisha
2. Mgogoro wa CCM na CUF uliodumu kwa miaka zaidi ya 10 hivyo kuzorotesha maendeleo,
3. Kuwepo kwa Serikali mbili ya Muungano (ambayo ndani yake pia ziko mbili(Muungano na Tanganyika)) na ya Zanzibar
4. Uwepo wa viongozi wengi. Tunalazimika kuwa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu bila sababu hivyo kuongeza gharama kubwa kwenye serikali.
5. Nchi moja kulazimika kuendesha mabunge mawili yaani lile la Muungano na lile Baraza la Wawakilishi.
6. Halama za kamati mbalimbali za pamoja za serikali na za vyama mbalimbali.

Kwa ujumla gharama ni kubwa sana zitokanazo na huu mfumo kuliko faida yake. Wakati tunaangali mchakato wa katibu mpya naomba pia tupate nafasi ya kuuangalia hili suala.

Mzalendo God Bless You kwa topic hii. ILA CAPITAL CITY IHAMIE DARESSALAAM tuepuke gharama na umalaya wa waheshimiwa Dodoma. (Dodoma yaweza baki mji wa ma Universities na kilimo)
 
Ndugu Watanzania wenzangu. Jambo lisipingika kuwa hoja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar imo mawazoni mwetu karibu kila siku. Mara Watanganyika wanalalamika na mara nyingi sana Wazanzibari wanalalamika zaidi. Wote hawa wanalalamika kwa kuwa kuna nchi mbili na kila moja anaona mwenzake anapata zaidi.

SULUHU YA MATATIZO YA MUUNGANO ni kuwa na NCHI MOJA TU badala ya nchi mbili kama ilivyo sasa. Kwa kuwa na nchi mbili tumesababisha yafuatayo:
1. Malalamiko yasiyoisha
2. Mgogoro wa CCM na CUF uliodumu kwa miaka zaidi ya 10 hivyo kuzorotesha maendeleo,
3. Kuwepo kwa Serikali mbili ya Muungano (ambayo ndani yake pia ziko mbili(Muungano na Tanganyika)) na ya Zanzibar
4. Uwepo wa viongozi wengi. Tunalazimika kuwa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu bila sababu hivyo kuongeza gharama kubwa kwenye serikali.
5. Nchi moja kulazimika kuendesha mabunge mawili yaani lile la Muungano na lile Baraza la Wawakilishi.
6. Halama za kamati mbalimbali za pamoja za serikali na za vyama mbalimbali.

Kwa ujumla gharama ni kubwa sana zitokanazo na huu mfumo kuliko faida yake. Wakati tunaangali mchakato wa katibu mpya naomba pia tupate nafasi ya kuuangalia hili suala.

Kwaupande wa > Zanzibaar wazo hilo ni haramu hata kulifikiria. Wazanzibari kwa sasa hawafikirii tena serekali ngapi ziwepo katika muungano! wanachofikiria ni vipi watauvunja muungano!.

Kama alivyoelezea mchangiaji mmoja hapo juu kua "kura ya maoni ndio kod ya wazanzibari kwa sasa kwajambo lolote zito kama hilo. na ninavyoamini ni kua zaidi ya asilimia 80 hawautaki muungano na kama watalazimishwa kuungana basi ni Muungano wa mkataba kama wa nchi za Ulaya au EAC.
 
Capital city dunia nzima huambatana na Ikulu. Sisi ni wa kwanza Duniani ambao mji mkuu na Ikulu viko sehemu tofauti
 
Capital city dunia nzima huambatana na Ikulu. Sisi ni wa kwanza Duniani ambao mji mkuu na Ikulu viko sehemu tofauti
ni mwanya wa kuvuja pesa za wananchi wetu, wewe fikiria gharama ya kusafirisha na kuilisha serikali nzima mara zote kwenye vikao Dodoma. asilimia ngapi ya viongozi na ma MP wanaishi Dar?
 
Paka hakamatwi sharubu bwana kiufupi hatutaki tena muungano haukuletwa na mungu,muungano huu unatambulika makaburini huko!
 
Eneo la Unguja na Pemba kama ilivyo Mafia kijiografia ni sehemu ya ardhi ya iliyokua Tanganyika...
Pili, asilimia zaidi ya 50 ya wakazi wa Pemba na Unguja asili yao ni kutoka kwa mikoa ya iliyokua Tanganyika, tofauti ya tamaduni imetokana na tawala za kikoloni zilizokuwepo visiwani na bara.
Hivi ushawahi jiuliza kabla ya uvamizi wa Waarabu ni kina nani walikua wakiishi katika visiwa vya Pemba na Unguja?
kua huru kimawazo usiogope, kwa iyo ndo unataka kusema nini hasa, bcs kila mtu anajua nchi ziligawanya kwa misingi gani, nahofia kesho utasema kenya na uganda ni eneo la pembezoni mwa tanganyika sasando iweje.
 
Wanzanzibar wana mentality kuwa zanzibar ikjitenga inaweza kuwa kama Dubai,Qatar,Oman hivyo wao neno muungano kwao nikama unawawekea kijinga chamoto kwenye kidonda!
nadhani ayo ni mawazo yao tu ambapo kila mtu ana haki ya kuwaza, umesahau mbowe alipokua na sera ya kuigawa tanzania na kua kama USA?
 
Wanzanzibar wana mentality kuwa zanzibar ikjitenga inaweza kuwa kama Dubai,Qatar,Oman hivyo wao neno muungano kwao nikama unawawekea kijinga chamoto kwenye kidonda!

ndio hicho...wanafikiri kua sheikh akija kutoka dubai akanunua kile kisiwa basi wataenda kujenga mahoteli, ma shoppin mallz kama vile dubai....hiyo ndio ndoto yao...wameshatawaliwa na waarabu once...wanataka itokee tena mara mbili??
 
Safari bado ni ndefu lakini kwa kila hali Muungano ni sehemu moja ya matatizo yetu.
 
ndio hicho...wanafikiri kua sheikh akija kutoka dubai akanunua kile kisiwa basi wataenda kujenga mahoteli, ma shoppin mallz kama vile dubai....hiyo ndio ndoto yao...wameshatawaliwa na waarabu once...wanataka itokee tena mara mbili??

" hujui kama karibu gulf coutries zote zimejengwa/kuendelezwa na waZanzibari, baada ya mapinduzi wengi wao walipokimbilia sehemu hizo? ikiwa tumeweza kuzi transform nchi hizo kwa nini tusiweze kwetu? serikali moja hata hao madalali CCM Znz hawalitaki hili, sisi sasa tumo kupanga kupangua kuuvunja kabisa huu Muungano. HATUUTAKI kabisa!!"
 
Back
Top Bottom