Muungano sio kitu cha kulazimishana,Jibu la Pinda ni kura ya Wz'bar maoni kutaka au laa Muungano.

abdulahsaf

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
858
130
Written by mkulima // 29/04/2011 // Habari // No comments

Pinda asitutishe Wz’bar Jawabu lake ni fupi tu,ama atajibiwa na BLW au Kura ya Maoni Wznz.
Wake up Wazanzibar mumemsikia Pinda mtekemewa Rais wa 2015,kama Wzanzibar hatukuvuta kamba mmoja kuvunja Muungano basi lengo la wenzetu ni kutumeza Zanzibar na rasilimali zake zote kuwa muflisi.
Anachokizungumza Mizengwe Pinda ndicho kinachozungumzwa na Watanganyika wote awe ccm awe Muislamu awe Buda wote lengo lao nikuimeza Zanzibar kwa hili Watanganyika lao ni mmoja.
Sisi Wazanzibar washa viongozi wetu wainakamize nchi na wawe na maneno ya kutafuna tafuna Pinda atetea Tanganyika kupora mali za Zanzibar kwa njia yakuwatisha Wzanzibar lakini Wazanzibar hatutishiki kwa makeke ya Pinda rabda awatishe wale watapia mloo wenye kwasho koo waliokuwa tayari kuuza utu wao na utaifa wao kwa kukumbatia Dunia.
Jee Pinda akiuzizwa masuala mawili tu anaweza kujibu? ikiwa Wzanzibar wenyewe wakisema hawataki Muungano kugawa mafuta yao watakiona?.
Hivi sasa Wazanzibar dio tujuwe rangi kamili za nio zao hawa Watanganyika na eti huyu ndio atakae kuja kuwa Rais Baada ya Kikwete jee Wazanzibar ndie huyu?
Maneno ya Pinda yanaonyesha kama Muungano nikitu chakulazimishwa Wazanzibar lazima wakubali wakitaka wasitake lazima wakubali kwa nguvu, sasa kuna faida gani na Muungano huu ambao una kasoro kibao na Wazanzibar wakitaja kasoro zenyewe Watanganyika huja juu, jee huu ni Muungano au ukoloni wa Kitanganyika?.
Kuna haja ya kupigwa kura ya maoni kulizwa hatma ya nchi yao Wazanzibar kamla mambo hayajawa mabaya sana, jee ccm/smz cuf Serekali ya Umoja wa kitaifa SUK mupo.
Au ndio mukiulizwa mutasema Pinda kateleza hakukusudia hivyo?.
Mungu ibariki Zanzibar na Wazanzibar wa nje na ndani.

Tunajuta Wz'bar kungana na nyiyi wababaishaji, enzi za kutishana zimepita pinda,soma historia ya Wz,bar sio wakutishwa au kutumiwa mabavu ni kidogo lakini ya Nyuki sio wingi lakini wa Nzi.
 
Kama kuna watu wanafaidika na muungano ni wazanzibari, mmemezwa wapi? unapotaja sijui waisilam sijui buda, huo ni ubaguzi, hasira haitatui kitu chochote, kama una wazo zuri la kushare na watu kuhusu kuvunja au kuboresha muungano ni vyema ukaliwakilisha kwa ufasaha zaidi.
 
nani alisema hivi??? ubaguzi ni dhambi kama kula nyama ya mtu ukianza hauachi! Ukianza kubagua uislamu na ukristo utagundua ndani ya ukristo kuna waluteri wakatoliki nk, utagundua ndani ya ukatoliki kuna waliookoka na wasiookoka, nk nk!
 
Mimi nawapenda sana wazanzibar kwa kuwa ni watanzania wenzangu. Kinachotakiwa ni kuboresha muungano kwa kupitia mapungufu yaliyopo. Tuwe na ujasiri kutenda
 
Written by mkulima // 29/04/2011 // Habari // No comments

Pinda asitutishe Wz’bar Jawabu lake ni fupi tu,ama atajibiwa na BLW au Kura ya Maoni Wznz.
Wake up Wazanzibar mumemsikia Pinda mtekemewa Rais wa 2015,kama Wzanzibar hatukuvuta kamba mmoja kuvunja Muungano basi lengo la wenzetu ni kutumeza Zanzibar na rasilimali zake zote kuwa muflisi.
Anachokizungumza Mizengwe Pinda ndicho kinachozungumzwa na Watanganyika wote awe ccm awe Muislamu awe Buda wote lengo lao nikuimeza Zanzibar kwa hili Watanganyika lao ni mmoja.
Sisi Wazanzibar washa viongozi wetu wainakamize nchi na wawe na maneno ya kutafuna tafuna Pinda atetea Tanganyika kupora mali za Zanzibar kwa njia yakuwatisha Wzanzibar lakini Wazanzibar hatutishiki kwa makeke ya Pinda rabda awatishe wale watapia mloo wenye kwasho koo waliokuwa tayari kuuza utu wao na utaifa wao kwa kukumbatia Dunia.
Jee Pinda akiuzizwa masuala mawili tu anaweza kujibu? ikiwa Wzanzibar wenyewe wakisema hawataki Muungano kugawa mafuta yao watakiona?.
Hivi sasa Wazanzibar dio tujuwe rangi kamili za nio zao hawa Watanganyika na eti huyu ndio atakae kuja kuwa Rais Baada ya Kikwete jee Wazanzibar ndie huyu?
Maneno ya Pinda yanaonyesha kama Muungano nikitu chakulazimishwa Wazanzibar lazima wakubali wakitaka wasitake lazima wakubali kwa nguvu, sasa kuna faida gani na Muungano huu ambao una kasoro kibao na Wazanzibar wakitaja kasoro zenyewe Watanganyika huja juu, jee huu ni Muungano au ukoloni wa Kitanganyika?.
Kuna haja ya kupigwa kura ya maoni kulizwa hatma ya nchi yao Wazanzibar kamla mambo hayajawa mabaya sana, jee ccm/smz cuf Serekali ya Umoja wa kitaifa SUK mupo.
Au ndio mukiulizwa mutasema Pinda kateleza hakukusudia hivyo?.
Mungu ibariki Zanzibar na Wazanzibar wa nje na ndani.

Tunajuta Wz'bar kungana na nyiyi wababaishaji, enzi za kutishana zimepita pinda,soma historia ya Wz,bar sio wakutishwa au kutumiwa mabavu ni kidogo lakini ya Nyuki sio wingi lakini wa Nzi.
Msiwe mnaandika huku mmelewa,hueleweki sasa umeandika madudu gani?
 
kwa wale wote wanaodhani wanauelewa muungano vizuri nashauri wajikosoe kidogo na kurudi nyuma kusoma dhana nzima ya muungano...baada ya kuelewa na kuandaliwa utaratibu maalum wajitoe kwenye muungano! Nafikiri mawazo ya watu yanatofautiana hivyo natoa angalzo kuepuka msuguano kati ya wanaodhani wanajua na wale wenye mtazamo hasi juu ya wenye msimamo chanya wa kujiengua!
 
Back
Top Bottom