Mtumwitu,
Ingawa suala la elimu ya juu ni la mwungano zingatia kwamba Tanzania bara ina idadi kubwa zaidi ya raia kulinganisha na Zanzibar. Hapa hatuwezi kuwa sawa kwa sawa. Bara tuna watu millioni 34 na uchwea wakati Zanzibar millioni mbili hawafiki. Na katika suala la uongozi hatuwezi kuwa nusu kwa nusu kwa mantiki hiyo ya upande mmoja kuwa na idadi kubwa zaidi. Lakini Mwalimu alijitahidi. Hata Mwinyi aliletwa bara na Mwalimu kwa ushauri wa Marehemu Babu. Kuhusu nafasi za juu Zanzibar, kama mwungano umewabana basi hiyo si haki. Mkilalamikia hilo nitakuwa upande wenu.
Ingawa suala la elimu ya juu ni la mwungano zingatia kwamba Tanzania bara ina idadi kubwa zaidi ya raia kulinganisha na Zanzibar. Hapa hatuwezi kuwa sawa kwa sawa. Bara tuna watu millioni 34 na uchwea wakati Zanzibar millioni mbili hawafiki. Na katika suala la uongozi hatuwezi kuwa nusu kwa nusu kwa mantiki hiyo ya upande mmoja kuwa na idadi kubwa zaidi. Lakini Mwalimu alijitahidi. Hata Mwinyi aliletwa bara na Mwalimu kwa ushauri wa Marehemu Babu. Kuhusu nafasi za juu Zanzibar, kama mwungano umewabana basi hiyo si haki. Mkilalamikia hilo nitakuwa upande wenu.