suala hili huamsha hamasa na jazba katika kila forum linapojadiliwa. nadhani tatizo ni kila upande kujaribu kuvutia kwake, na kuunyooshea upande mwingine kidole.
kwa maoni yangu Muungano unawagusa zaidi wananchi wa ZNZ kuliko wale wa Bara. Naweza ku-speculate kwamba kila Mzanzibari ana jamaa yake aliyeko Bara, lakini si kila Mbara mwenye jamaa yake ZNZ.
Mara nyingi Watanganyika wanagutuka kwamba wako ktk Muungano baada ya kusikia manunguniko au mtafaruku kutokea ZNZ. Tanganyika ni kubwa mno, na Watanganyika wengi kama nilivyoeleza hawana habari au hawaathiriki na Muungano kwa namna ile unavyowaathiri Wazanzibari.
Muungano huu una matatizo, hata Raisi wetu amekiri kuwepo kwa matatizo, bila ya kuyabainisha. Ni vigumu kufahamu viongozi wanashughulikia tatizo lipi ktk Muungano, na hatua gani wamefikia ktk kulitatua. It will take time.
Wakati tunawasubiri taarifa ya viongozi kuhusu kutatuliwa kwa matatizo ya Muungano, mimi nawaomba wazanzibari wajadili ni jinsi gani wanaweza kuutumia muungano kufaidika mmoja-mmoja, na taifa la ZNZ kwa ujumla wake.
Badala ya kunyoosheana vidole, na kuzungumzia MATATIZO, wananchi tujadili jinsi ya kutumia OPPORTUNITIES zilizopo sasa hivi. Unajua wakenya wanatulilia tuungane nao. Now, what are the KENYANS seeing in TANGANYIKA, that ZANZIBARIS are missing?
kwa maoni yangu Muungano unawagusa zaidi wananchi wa ZNZ kuliko wale wa Bara. Naweza ku-speculate kwamba kila Mzanzibari ana jamaa yake aliyeko Bara, lakini si kila Mbara mwenye jamaa yake ZNZ.
Mara nyingi Watanganyika wanagutuka kwamba wako ktk Muungano baada ya kusikia manunguniko au mtafaruku kutokea ZNZ. Tanganyika ni kubwa mno, na Watanganyika wengi kama nilivyoeleza hawana habari au hawaathiriki na Muungano kwa namna ile unavyowaathiri Wazanzibari.
Muungano huu una matatizo, hata Raisi wetu amekiri kuwepo kwa matatizo, bila ya kuyabainisha. Ni vigumu kufahamu viongozi wanashughulikia tatizo lipi ktk Muungano, na hatua gani wamefikia ktk kulitatua. It will take time.
Wakati tunawasubiri taarifa ya viongozi kuhusu kutatuliwa kwa matatizo ya Muungano, mimi nawaomba wazanzibari wajadili ni jinsi gani wanaweza kuutumia muungano kufaidika mmoja-mmoja, na taifa la ZNZ kwa ujumla wake.
Badala ya kunyoosheana vidole, na kuzungumzia MATATIZO, wananchi tujadili jinsi ya kutumia OPPORTUNITIES zilizopo sasa hivi. Unajua wakenya wanatulilia tuungane nao. Now, what are the KENYANS seeing in TANGANYIKA, that ZANZIBARIS are missing?