Muungano Tupa kule, ule mchanga waliouchanganya tupa baharini. utajichuja wa bara na visiwani. Ikiwezekana Zenji tuisukumie huko karibu na Madagascar. Muungano kero. Vunja, kila mtu na lake.
 
muungano tuudumishe na rasimu hii ya katiba hii tuipitishe

hakuna muungano , kuna uvamizi wa tanganyika kwa zanzibar.

Waziri mkuu wa zanzibar shamte na mawaziri wenzake walifungwa jela za tanganyika kabla huo uitwao muungano wa april 26 ,1964 .

Huu ndio ukweli

wazanzibar hatusahau katu udhalimu huu
 
wanaopinga muungano wakasome vizur kwn hawajui,hii acronym(Tanzania) imetokana na combination btn TANGANYIKA and ZANZIBAR,,,kwahyo kwakutamka tu neno Tanzania tuna mantain muungano,,,cha muhimu muungano uboreshwe
 
Muungano uliunganiswa kihuni hun ndio maana unatutesa.watanganyika hatuna serikali .serikal yet aliiua nyerere na kuwaongezea wazanzibar serial ya pili maon yet wanayazika wanataka nin?
Wanapanga mambo yao na kukataa ya kwetu katika nchi yetu.muungano uliungashwa kihun ufutwe kwa sabab hawatutambui watanganyika we ye nchi.
 
wanaopinga muungano wakasome vizur kwn hawajui,hii acronym(Tanzania) imetokana na combination btn TANGANYIKA and ZANZIBAR,,,kwahyo kwakutamka tu neno Tanzania tuna mantain muungano,,,cha muhimu muungano uboreshwe
-muungano xyo jina
 
Kile kisiwa ni chetu, na Ni sehemu muhimu ya usalama wa Taifa letu. Ukikitupa Mzungu au mwarabu Atakichukua na atakitumia Kukuburuza. Wewe Nyani Usiye na Maono. By any means Necessary. Tutakishikiria.
 
Any ignorant, idiot will say muungano tuuvunje, that is about 25 miles from our mainland. What does that tell you? Some of Y'all need to SHUT UP!
 
Nihatua nzuri katka kuulinda kwani mali ndio chazo cha mfarakano hata ndugu wa familia moja hugombania mali sasa hawa wameweka mamba wazi tusihoji bila kuangalia mantiki ya hoja.
 
Nihatua nzuri katka kuulinda kwani mali ndio chazo cha mfarakano hata ndugu wa familia moja hugombania mali sasa hawa wameweka mamba wazi tusihoji bila kuangalia mantiki ya hoja.

Pasipo na Tanganika kutakuja kupatikana pemba, unguja na tanganyika muda si mrefu[/QUOTE




hakuna muungano , kuna uvamizi wa tanganyika kwa zanzibar.







Waziri mkuu wa zanzibar na mawaziri wenzake walifungwa jela za tanganyika kabla huo uitwao muungano wa april 26 ,1964 .

Huu ndio ukweli

wazanzibar hatusahau katu udhalimu huu
 
Pasipo na Tanganika kutakuja kupatikana pemba, unguja na tanganyika muda si mrefu[/QUOTE


nakuelewa kanisa ndivyo linavyodanganya kuhusu unguja na pemba , masikini akili za kondoo zimekuwa kama kondoo kweli ,

Hivi kabla ya huo uvamizi kulikuwa na nini ???


HOFU YA ZANZIBAR HURU NI UISLAMU KWA SABABU KANISA LINAOGOPA KONDOO WATAGEUKA WATU NA KUANZA KUUONA UKWELI
 
Back
Top Bottom