miftaah
Member
- May 31, 2012
- 30
- 5
Kwa muungano huu sisi wazanzibari hatuutaki, tunautaka muungano wenye faida kwa pande zote mbili...Na tuna sababu za kusema kuwa muungano huu wazanzibari hatuutaki, watakaonuna na wanune ila tutazidi kusema kua muungano huu hatuutakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na kma kuvunjika na uvunjike maana sio faradhi kuwa nao