Kitty Galore
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 345
- 100
Wadau nimemuona Muumin kwenye uzinduzi wa Twanga Pepeta uliofanyika pale Leaders, nae ni mmoja wa waimbaji wa Twanga, je huyu jamaa si alikuwa na bendi yake? nini kimempata na mbona anaonekana kachoka sana? na isitoshe alikuwa kimya kwa muda mrefu.
Hii imekaaje wadau.
Hii imekaaje wadau.