Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,913
Naingia mgahawani kupata kifungua kinywa natengenezewa mayai matatu na vikorombwezo vyake..bili inakuja elfu tatu kwa mayai tu..nauliza kwanini mayai mnauza bei ghali hivyo?? Mhudumu anajibu..kamuulize kuku kwanini amefanya mayai kuwa ghali hivyo??