Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Wanahitajika wauguzi wawili, na wataalamu wa maabara ya binadamu, wenye sifa hasa waliosomea vyuo vya binafsi watafikiliwa kwanza
Wenye intrest wanitumie private massage niwape contuct zangu
Kituo cha kazi ni mbagala Dar es salaam
Wasio na familia watalipiwa chumba kwa miezi 3 ya mwanzo kwa huko huko mbagala.
Wenye intrest wanitumie private massage niwape contuct zangu
Kituo cha kazi ni mbagala Dar es salaam
Wasio na familia watalipiwa chumba kwa miezi 3 ya mwanzo kwa huko huko mbagala.