Kataa Rushwa
JF-Expert Member
- May 15, 2015
- 718
- 745
Hivi kama wamama wajawazito wote wanaochapwa makofi ili waache uzembe wakati wa kujifungua wangesemelea. basi wakunga Wengi wangeshafukuzwa kazi
serikali naona inaongeza chuki baina ya wagonjwa na watoa huduma
haki itendeke wasijemwonea huyu nesi watasababisha matatizo zaidi
serikali naona inaongeza chuki baina ya wagonjwa na watoa huduma
haki itendeke wasijemwonea huyu nesi watasababisha matatizo zaidi