jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
Hapo mtoto akitoka na apgar score ndogo muuguzi anakuwa kwenye hot soup...ni bora amlaumu kwa kibao cha mapaja kuliko kumlaumu kwa mtoto mwenye utaahira wa akiliPande zote mbili wasikilizwe kwa umakini sana,
Swala la kusukuma mtoto kabla ya muda muafaka linaweza kusababisha kifo cha mtoto,
Na swala la kulabua mjamzito kofi la uso nalo linaweza kumchanganya mjamzito network ikakata,
Hapa wasikilizwe wote kwa umakini mkubwa