jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Kisa kinasisimua sana, usimuliaji utafikiri Riwaya za Mtobwa lol....
Mkuu bongo kungekuwa na soko la kueleweka kwenye tasnia ya Vitabu ningekutafuta tuangalie ni namna gani kitu ya namna hii tuingize sokoni, last time ulitupa kile kisa cha Uingireza ambapo kuna yule jamaa anatuhumiwa kwa mauaji ya mkewe afu na yeye akajiua japo ulisema ile bado Scotland Yard wanakomaa!
Pamoja na kwamba ni unatafsiri toka huko kwenye sources zako, hyo haizuii mng'ao wa kipaji chako mkuu...
Nashukuru kwa kuishehenesha JF.
Kwa kurudi kwenye stori, hao FBI hawakuwa makini hata kidogo na hamna kazi waliofanya,
najaribu kuimagine hyo kazi ingefanywa na Special Agent Molles yule wa kwenye movie ya Colombiana hahahahahaha si unakumbuka alivyombaini Cantalinhia kwa kapicha kamoja kalikoingia kwenye system zake lol....
Mwaka 97 sidhani kama teknolojia ilikuwa chini kihivyo kwa America.
Au we unasemaje?
Mkuu bongo kungekuwa na soko la kueleweka kwenye tasnia ya Vitabu ningekutafuta tuangalie ni namna gani kitu ya namna hii tuingize sokoni, last time ulitupa kile kisa cha Uingireza ambapo kuna yule jamaa anatuhumiwa kwa mauaji ya mkewe afu na yeye akajiua japo ulisema ile bado Scotland Yard wanakomaa!
Pamoja na kwamba ni unatafsiri toka huko kwenye sources zako, hyo haizuii mng'ao wa kipaji chako mkuu...
Nashukuru kwa kuishehenesha JF.
Kwa kurudi kwenye stori, hao FBI hawakuwa makini hata kidogo na hamna kazi waliofanya,
najaribu kuimagine hyo kazi ingefanywa na Special Agent Molles yule wa kwenye movie ya Colombiana hahahahahaha si unakumbuka alivyombaini Cantalinhia kwa kapicha kamoja kalikoingia kwenye system zake lol....
Mwaka 97 sidhani kama teknolojia ilikuwa chini kihivyo kwa America.
Au we unasemaje?