Mkuu Feedback, aliyekuwa anavalia suruali tumboni aliitwa Ladislaus Malima, walipoingia utawala na kuchimbwa mkwala na Afisa utawala, wakati ule Prof. Masenge, yeye alipotoka aliwaambia watu kuwa 'mimi simo anayeendelea na mgomo shauri yake!', akatokomea mtaani ingawa walipofukuzwa viongozi wa kunji naye alikuwemo.
Maswi alikuwa Vice President wa Mutungirehi, wakati ule tulimwita Chacha Maswi, baada ya Mutungirehi kushushwa hightable pale Nkurumah na kuishia dispensary, Chacha alikaa mezani akatangaza 'DEMOKRASIA IMECHUKUA MKONDO WAKE, na tukaendelea na mkutano kila mtu akidahania yangeishia hapo.
Ana unafki gani? Yaonekana unamjua vizuri had huko kwao ruhita. In actual fact jamaa ni mzuri kujieleza isipokuwa watu wa kyerwa mlitaka awe anawanunulia pombe na kuwaonga pesa. Mazingira enzi zake kuhusu upinzani zilikuwa mbaya sana.upinzan ulikuwa uhasama/chuki na ata kupeana sumu. Watu wa kambi ya ccm waliumia kushndwa na mtu ambaye hakuwa na pesa isipokuwa mdomo na elimu, wakti yule wa ccm alikuwa milionea,anawanzesha pombe,gari mnapanda bure huku akidhibiti waganda wasinunue kahawa anunue yeye kwa bei anayotaka.kumbuka mwaka 2005 ndiye mbunge alikuwa kachangia sana bungeni. Bunge lilipokuwa linaisha wanasema aliishi kijijini kitwe na gari yake ilikuwa ambulance jimbon kwerwa.nimempgia rafiki yake ambaye yuko kaisho na walisoma wote
nakuakikishia kwa 100%, karagwe anayepewa pombe ndiye mpiga kura. Mbunge aliyepo ameleta maendeleo gani tofauti na kununua kahawa kwa bei ndogo?umeingiza ubaguzi wa kabila/koo. Ni muono mbaya kusema sio m-tz ni muhima.wewe karagwe unatoka sehemu hipi.ukiitaja tu basi nitakwambia wewe ni mtz uliyetoka wap.je maendleo unayozungumza yanaletwa na m-tz wa aina hipi?ubaguzi wako ni mbaya kwa karne hii.nafikiri jf ingekuwa ya kwako basi,ungetaka wanachama wawe unaowapenda,wapost unachokitaka,wahima wa ruhita wasingepata nafasi ya kuchangia nk. Umoja wetu unaanza kuaribiwa na mawazo ya hovyo kama ya kwako. Je karagwe nayo ina ukabila na ukanda?Nadhani kama unamjua vizuri kuanzia chuo kikuu, alafu kdcu mpaka ubunge wake utanielewa . Ni kweli wapo waliotaka pombe lakini wapo waliokuwa wanataka maendeleo . Wanaotaka pombe siku zote hawapigi kura
nakuakikishia kwa 100%, karagwe anayepewa pombe ndiye mpiga kura. Mbunge aliyepo ameleta maendeleo gani tofauti na kununua kahawa kwa bei ndogo?umeingiza ubaguzi wa kabila/koo. Ni muono mbaya kusema sio m-tz ni muhima.wewe karagwe unatoka sehemu hipi.ukiitaja tu basi nitakwambia wewe ni mtz uliyetoka wap.je maendleo unayozungumza yanaletwa na m-tz wa aina hipi?ubaguzi wako ni mbaya kwa karne hii.nafikiri jf ingekuwa ya kwako basi,ungetaka wanachama wawe unaowapenda,wapost unachokitaka,wahima wa ruhita wasingepata nafasi ya kuchangia nk. Umoja wetu unaanza kuaribiwa na mawazo ya hovyo kama ya kwako. Je karagwe nayo ina ukabila na ukanda?
Kajunju
Wewe unastahili kufanya kazi na CIA. Ni kamanda mzuri kwa upekuzi.
Jitahidi hadi aache maandiko yake hapa kupitia kwenye akaunti yako yako ya JF.
Kwa namna ya siasa ilivo sasa yeye ni mtu muhimu sana. Mwanaume hafi huku anajiona.
nakuakikishia kwa 100%, karagwe anayepewa pombe ndiye mpiga kura. Mbunge aliyepo ameleta maendeleo gani tofauti na kununua kahawa kwa bei ndogo?umeingiza ubaguzi wa kabila/koo. Ni muono mbaya kusema sio m-tz ni muhima.wewe karagwe unatoka sehemu hipi.ukiitaja tu basi nitakwambia wewe ni mtz uliyetoka wap.je maendleo unayozungumza yanaletwa na m-tz wa aina hipi?ubaguzi wako ni mbaya kwa karne hii.nafikiri jf ingekuwa ya kwako basi,ungetaka wanachama wawe unaowapenda,wapost unachokitaka,wahima wa ruhita wasingepata nafasi ya kuchangia nk. Umoja wetu unaanza kuaribiwa na mawazo ya hovyo kama ya kwako. Je karagwe nayo ina ukabila na ukanda?
nadhani umenielewa vibaya sana na siwezi kubadili mapenzi yako kwa Mtungilehi, katika makala mbalimbali ya karugendo ameonesha kuwa huyu mtu ni mhima , na wahima wanakaa tz,ug, rdc,rw n.k. Mbunge wa sasa Mr.Katagira ni hovyo zaidi na mtungirehi ni zaidi ya huyu mtu lakini si bora kiasi cha kuwa mbunge wa Kyerwa kulingana na historia ya alikopita. Binafsi natoka Isingiro na naweza kukukaribisha kuja tukaongea zaidi
Inamaana hata kutaja kabila la mtu ni kosa sasa??
nashukuru kuwa haukuwa na nia mbaya kumtaja mtungireh kuwa ni muhima.kumbuka ata awe fr karugendo akiandika kitu basi kimepita au kinakubalika.watu wa karagwe wanajulikana kama wanyambo,wa-tz. Haya mambo ya koo mara ulitoka wapi ni uchuro.jinsi ulivyotumia neno muhima na hovyo hukuwa na nia nzuri. Nilitegemea mwanzo uandike kuwa licha ya mtungireh kuwa hovyo...huyu tuliyenae ni hovyo zaidi. kumbuka watu wa kaisho walio wengi mlimpiga vita mtungireh. Mimi sio mnyambo ila nimefanyia kazi huko 15 yrs. Mtu huyu alipendwa kwa hoja isipokuwa wakti hule watu walikuwa mbumbumbu sana.hakuna sim,tv na radio ilikuwa tbc tu.ata isingiro mlikuwa hamfuatilii mbunge kafanya nini kwan nyie ni mashabik wa radio za uganda<kigezi,capital fm,radio great africa etc>.no zake nilipewa na jamaa yuko hapo isingiro.
Unakumbuka alipotolewa high table Nkrumah hadi akupoteza kiatu, jamaa alikuwa mkorofi sana, watu wanamvuta aondoke yeye akashikilia meza kidogo aanguke nayo kwenye stage, i think it was 1991 or 92 kama sikosei.
Malima classmate wangu pale FOE. nakumbuka baada ya kubonyea kwa mkwara wa prof Masenge , FOE walikuwa hawampend kabisa, akigombea uongozi wowote hapewi. Baadayelijiunga na NCCR mageuzi akapiga siasa...juzi juzi alikuwa mkurugenzi wa RITA, japo naambiwa nako wamemtimua.
Maswi alitembelea kazini wangu juzi nikampa tour na maelezo ya tunachofanya...lakini nilikuwa naiuliza huyu mbona yuko familiar hivi! Kumbe mzee wa kunji! JF ni kiboko hata kuliko google.
Ukimuhitaji anakaa Jet ingawa sijui kama ni Mchimbo, Kwa Alli Mboa, Kwa Gude lakini mara nyingi nimekutana naye maeneo hayo. Kwa kweli maisha ni mzunguko huyu bwana amepungua sana ila kichwa bado kina mawazo ya kimapinduzi, kama kuna anayetaka mawasiliano yake nitampa namba yake ya simu maweze kukumbushana yaliyopita na mustakabali wa nchi yetu.
Ilikuwa 1994 na livutwa na jamaa wa FoE wakati huo