Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,618
- 7,889
Mkuu,
Kwanini kila tusipokubaliana na jambo tunatishia amani? Wewe kama kiongozi unatakiwa kudiscuss makosa yaliyopo na kushauri wananchi jinsi ya kubadilisha au kuupinga muswada huu.
Kumbuka,hakuna mtu ambaye atakuja na muswaada utakaotoshelezea matakwa ya kila mtu,ila kisheria wabunge wa CDM au mbunge yoyote anaweza kusubmit muswaada binafsi bungeni na ukajadiliwa.
Serikali iliyopo madarakani ni serikali iliyochaguliwa na wananchi na ni serkali iliyoundwa na CCM ambacho ni chama kinachotetea wazi muungano wa Tanzania na Zanzibar,kwa hiyo what do you expect? They are going to protect the union, to them not protecting the union is like dividing their territory! Thats what they believe in.
Secondly, like Bagenda said, CCM as a party is cool with the status quo, so whats the big deal?Katiba mpya halikuwa lengo la CCM, kwani ulikuwa hujui? Ila, kama wananchi watataka katiba mpya basi tujadiliane, na president ametoa bill,kama ina makosa let's point out whats wrong and alert other MPs sio kutishana.
Lastly, jinsi ya kuchagua tume inabidi tuje na tume huru ambayo itasikiliza maoni ya wananchi, ila kama rais anapendekeza kuchagua tume, that's because he believes he has the right to do so, but again he can comply with the mass the same way he complied with the new constitution talks.
DON'T RESORT TO VIOLENCE!
Kwanini kila tusipokubaliana na jambo tunatishia amani? Wewe kama kiongozi unatakiwa kudiscuss makosa yaliyopo na kushauri wananchi jinsi ya kubadilisha au kuupinga muswada huu.
Kumbuka,hakuna mtu ambaye atakuja na muswaada utakaotoshelezea matakwa ya kila mtu,ila kisheria wabunge wa CDM au mbunge yoyote anaweza kusubmit muswaada binafsi bungeni na ukajadiliwa.
Serikali iliyopo madarakani ni serikali iliyochaguliwa na wananchi na ni serkali iliyoundwa na CCM ambacho ni chama kinachotetea wazi muungano wa Tanzania na Zanzibar,kwa hiyo what do you expect? They are going to protect the union, to them not protecting the union is like dividing their territory! Thats what they believe in.
Secondly, like Bagenda said, CCM as a party is cool with the status quo, so whats the big deal?Katiba mpya halikuwa lengo la CCM, kwani ulikuwa hujui? Ila, kama wananchi watataka katiba mpya basi tujadiliane, na president ametoa bill,kama ina makosa let's point out whats wrong and alert other MPs sio kutishana.
Lastly, jinsi ya kuchagua tume inabidi tuje na tume huru ambayo itasikiliza maoni ya wananchi, ila kama rais anapendekeza kuchagua tume, that's because he believes he has the right to do so, but again he can comply with the mass the same way he complied with the new constitution talks.
DON'T RESORT TO VIOLENCE!