Hivi kweli hawa wabunge wa CCM wanataka kusema hawaoni LOGIC katika hayo yote yaliyoelezwa na Mkubwa huyu????? Kama ni kweli hawaoni??? I just can't imaging how "mbumbus" they are!!!!
Magamba wanajuvunia 2 wingi wao ila siyo ubora. Kwangu mm magamba ni kama wanamgambo na wapiganaji ni Makomandoo(eg SEAL- Sea-Air-Land).
Kinachonishangaza je kwa hawa magamba ni yakua hata wakiambiwa hawasikii, wakionyeshwa hawaoni...... Wengi wao yafaa kuwaita ZUZU (zuzu - mtu asiyeelewa na asiyetaka kuelewa ni tafsiri toka kwenye kamusi ya kiswahili- TUKI)
Kwa mtu ambae ana ile Hotuba ya kambi rasmi ya upinzani bungeni iliyosomwa na tundu lissu ya sheria ya mabadiliko ya katiba 2011 aniwekee/atuwekee hapa.Hii itatusaidia kukumbuka vizuri ni mambo gani chadema waliyapigania na ni yepi hadi sasa rais tayari kwa kuyakubali.
Pamoja na kwamba sio yote yatakayokubaliwa ila natanguliza pongezi zangu kwa chadema kwa kitendo chao cha kupigania sheria hyo kurudi bungeni na kufanikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.