Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
lililo wazi na bila kutafuna maneno ni kuirejesha Tanganyika, wazo la katiba mpya lisimame ili kutoa nafasi kwa Taifa la Tanganyika kuzaliwa upya. kisha kujadili katiba au muungano baina ya wananchi wa nchi mbili na kuamua wanataka muundo upi ?
maaana kiukweli huu muundo tulionao una mkanganyiko mkubwa, Lissu( Lussu kama wazanzibari wanavyomuita) yeye siku zote anajaribu kuonesha kuwa watanganyika wanapaswa kuwa na nguvu zaidi ya wazanzibari na kutoa fursa sawa ni kuwapendelea wazanzibari. lakini na wazanzibari na wao wana mengi zaidi ya alioyaeleza bwana Lussu
maaana kiukweli huu muundo tulionao una mkanganyiko mkubwa, Lissu( Lussu kama wazanzibari wanavyomuita) yeye siku zote anajaribu kuonesha kuwa watanganyika wanapaswa kuwa na nguvu zaidi ya wazanzibari na kutoa fursa sawa ni kuwapendelea wazanzibari. lakini na wazanzibari na wao wana mengi zaidi ya alioyaeleza bwana Lussu