Muswada wa Katiba Mpya: Hotuba ya Msemaji wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni (Tundu Lissu)

Ngoja niuprint tu nitausoma kwa muda wangu huku kahawa na madafu yako pembeni....taratiiiiiiibu!!
 
fufueni tanganyika yenu kwanza halafu ndio muje na hoja za kilalamishi hapa

Hata huko kufufua Tanganyika itabidi Watanganyika tuwapigie magoti Wazenji maana wasiporidhia ndio hivyo tena kulingana na katiba ya sasa. Kwa ufupi ni kuwa Tanzania bara ni koloni la Wazenji lakini bado hao hao hawaachi kulalama !
 
Lissu ni kichwa sana,tutaandamana kupinga chochote kibaya kitachopitishwa na hawa mbwa CCM.
 
binafsi naungana na watanzania wote wanaotaka tupate katiba mpya, na nawapongeza watu wote wanaotaka mchakato huu uanze upya na usiwe na influence ya rais au kutekwa na watu wa ccm
hata hivyo nina wasiwasi sana na matamshi mengi ya tundu lissu yanayohusu zanzibar, kiukweli nayaona si mazuri kwa chama cha chadema na pia si mazuri sana kwa mustakabali wa taifa, maneno aliyoyasema yanaweza kutumiwa na maadui wa chadema kiasi kwamba ikaonekana chadema ina chuki na zanzibar, yawezekana tukadharau tukasema mbona wapiga kura kule ni laki 3 tu, hata tukizikosa sio neno, lakini tufahamu political stability ni muhimu, na haya maneno ya kuishutumu zanzibar sana, yanaweza kupeleka zile hisia mbaya za ubaguzi zikajengwa na kuonekana kuwa chadema yawachukia wazanzibar,

binafsi, najua , nitapingwa kwa sababu sijazungumza in favour of chadema, lakini hili ni angalizo tunahitaji kuwa wamoja zaidi kuliko kugawanyika, na sielewi kwa nini tundu lissu hili amekuwa akilipigania mno siku zote, toka kwenye mdahalo wa pale UDSM ukarushwa live ITV, alizungumza haya, ingawa mwalimu wake Prof Issa Shivji alimpinga, bungeni alirudia tena, kwenye majadiliano kadha wa kadha amerudia juu ya nafasi ya Zanzibar, tujiangalie tusije jikuta tunalose the grip

just angalizo tuu

wale wazanzibari walioandamana kwenda UN ni wanachadema?
 
leo wanzanzibar wasipoomba muongozo sijui, anaonekana anakuwa mchawi wao

Leo Lisu umesema ukweli ambao hata wana CCM wameukubali japo hawajionyeshi. Ni Kwa nini wazanzibari wawe wanakuwepo kwenye vikao visivyohusu Muungano? Nauchukia Muungano
 
Ni vema wameamua kusepa out maana dalili ya mvua ni mawingu,kumbuka supika ameanza na utangulizi ambao lengo ni kuwaziba mdomo wapenda mabadiliko na wanaotetea haki,hasa wale wanaotaka mswada huu uwe na nguvu ya umma,badala ya kuwa na nguvu ya raisi,tena rais ambaye haaminiki tena kwa matendo yake,chukulia mfano,madaraka aliyo nae raisi yamesababisha kuwa kama Mungu mtu maana ameweza kuwa mtafasiri sheria bila kujali sheria zetu hazielekezi hivyo,mfano hai ni sakata la mafisadi wa EPA pale ambapo yeye kama raisi aliposema walioiba fedha za EPA wazirudishe na kisha soo hilo liishe hivyo hivyo,sasa leo ni vipi akipewa mamlaka yote yanayo husu uundwaji wa katiba mpya?maana yake ni kwamba atahakikisha katiba inamlinda yeye,maraisi waliomtangulia na chama chake cha CCM-Magamba.
hata hivyo to be honest Lisu ni kichwa cha pekee.kamanda anazijua sheria balaa na amewachana live bila chenga,cha msingi tuangalie jinsi ya kukataa kwa vitendo ili kutetea maslahi ya taifa badala ya kuwa sehemu ya tatizo la kikatiba kama ilivyo kwa CCM.
 
Matambo kipi ambacho hujaelewa alichokisema Mh Lisu,au ni yale mazoea ya watanzania ya kujinafikisha?watanzania walio wengi ukisema ukweli unakuwa adui au kwa mfano halisi wa muungano utaoonekama mbaguzi,ngoja tuulizane,ni kwa nini serikali ya muungano haitaki madini ya Tanzania bara yawe ni masuala ya muungano?je ni kwa nini kama kuna muungano nchi mojawapo iliyouungana haipo,yaani ilipata natural death na hii ni Tanganyika?je ni kwanini kwa tukio la mwaka jana la wanzanzibari walibadili katiba bila ya Tanganyika(Tanzania bara hawakuhusika),Leo ni kwa vipi wao wanahusika kubadili katiba ya bara?kama sababu ni muungano basi kwanini Tanganyika(Tanzania bara haikuhusika kubadili katiba ya Tanzania visiwani?) Je ni kwanini mafuta ya ZNZ yapo kwenye masuala ya muungano?acheni bana,hapa wa kulaumiwa wala si Lisu ni juu ya mazingira ya muungano yalivyo wala si Lisu,na kwa taarifa yako wananchi wa ZNZ hawana shida na muungano isipokuwa viongozi.
kaa chini tafakari vizuri kisha utakuja na jibu
 
Leo Lisu umesema ukweli ambao hata wana CCM wameukubali japo hawajionyeshi. Ni Kwa nini wazanzibari wawe wanakuwepo kwenye vikao visivyohusu Muungano? Nauchukia Muungano

Kama vile kupitia matatizo ya ndoa halafu mume hajulikani alipo. Mambo ya Camerron haya.
 
binafsi naungana na watanzania wote wanaotaka tupate katiba mpya, na nawapongeza watu wote wanaotaka mchakato huu uanze upya na usiwe na influence ya rais au kutekwa na watu wa ccm
hata hivyo nina wasiwasi sana na matamshi mengi ya tundu lissu yanayohusu zanzibar, kiukweli nayaona si mazuri kwa chama cha chadema na pia si mazuri sana kwa mustakabali wa taifa, maneno aliyoyasema yanaweza kutumiwa na maadui wa chadema kiasi kwamba ikaonekana chadema ina chuki na zanzibar, yawezekana tukadharau tukasema mbona wapiga kura kule ni laki 3 tu, hata tukizikosa sio neno, lakini tufahamu political stability ni muhimu, na haya maneno ya kuishutumu zanzibar sana, yanaweza kupeleka zile hisia mbaya za ubaguzi zikajengwa na kuonekana kuwa chadema yawachukia wazanzibar,

binafsi, najua , nitapingwa kwa sababu sijazungumza in favour of chadema, lakini hili ni angalizo tunahitaji kuwa wamoja zaidi kuliko kugawanyika, na sielewi kwa nini tundu lissu hili amekuwa akilipigania mno siku zote, toka kwenye mdahalo wa pale UDSM ukarushwa live ITV, alizungumza haya, ingawa mwalimu wake Prof Issa Shivji alimpinga, bungeni alirudia tena, kwenye majadiliano kadha wa kadha amerudia juu ya nafasi ya Zanzibar, tujiangalie tusije jikuta tunalose the grip

just angalizo tuu

Wasiwasi wako tu, tusiwe wanafiki kwa kuogopa kuitwa wasaliti kwa kujadili muungano,wakati Kuna mambo Ya msingi Ya kujadili . Kuna tatizo gani lissu kusema si haki kwa zanzibar kushiriki kwenye mchakato wa Katiba wakati tanganyika haijafufuliwa ? Kwani kama wao wapo kwa mambo yanayowahusu wao basi na sisi tufufue tanganyika ili itetee yanayohusu sisi tu,na kama wanaona kauli za sisi,wao si nzuri ba na waiache serikari Ya muungano isimamie kila kitu kinachohusu muungano kwa yale mambo Ya muungano .
Pia Kuna haja Ya kujadili huu muungano wenyewe kwani sioni haja Ya kuwa na serikalini mbili eti Ya zanzibar inasimamia yasiokuwa Ya muungano! Kwanini tusiwe na serikali moja tu kwa nchi moja, la sivyo tunaitaka tanganyika yetu.Tunasherehekea miaka 50 Ya uhuru wa tanganyika wakati nchi yenyewe haipo na haina serikali, tuandae sherehe za miaka 46 Ya tanzania na zanzibar washerehekee yao kwa sababu ndizo nchi na zenye serikali,tanganyika ilijifia. Bila kutoka nje Ya mada,kama zanzibar wanataka kuhusika nusu kwa nusu kwenye huu mchakato basi lazima tuifufue Nchi yetu Tanganyika.

Nipo tayari kusahihishwa.
 
binafsi naungana na watanzania wote wanaotaka tupate katiba mpya, na nawapongeza watu wote wanaotaka mchakato huu uanze upya na usiwe na influence ya rais au kutekwa na watu wa ccm
hata hivyo nina wasiwasi sana na matamshi mengi ya tundu lissu yanayohusu zanzibar, kiukweli nayaona si mazuri kwa chama cha chadema na pia si mazuri sana kwa mustakabali wa taifa, maneno aliyoyasema yanaweza kutumiwa na maadui wa chadema kiasi kwamba ikaonekana chadema ina chuki na zanzibar, yawezekana tukadharau tukasema mbona wapiga kura kule ni laki 3 tu, hata tukizikosa sio neno, lakini tufahamu political stability ni muhimu, na haya maneno ya kuishutumu zanzibar sana, yanaweza kupeleka zile hisia mbaya za ubaguzi zikajengwa na kuonekana kuwa chadema yawachukia wazanzibar,

binafsi, najua , nitapingwa kwa sababu sijazungumza in favour of chadema, lakini hili ni angalizo tunahitaji kuwa wamoja zaidi kuliko kugawanyika, na sielewi kwa nini tundu lissu hili amekuwa akilipigania mno siku zote, toka kwenye mdahalo wa pale UDSM ukarushwa live ITV, alizungumza haya, ingawa mwalimu wake Prof Issa Shivji alimpinga, bungeni alirudia tena, kwenye majadiliano kadha wa kadha amerudia juu ya nafasi ya Zanzibar, tujiangalie tusije jikuta tunalose the grip

just angalizo tuu

Wasiwasi wako tu, tusiwe wanafiki kwa kuogopa kuitwa wasaliti kwa kujadili muungano,wakati Kuna mambo Ya msingi Ya kujadili . Kuna tatizo gani lissu kusema si haki kwa zanzibar kushiriki kwenye mchakato wa Katiba wakati tanganyika haijafufuliwa ? Kwani kama wao wapo kwa mambo yanayowahusu wao basi na sisi tufufue tanganyika ili itetee yanayohusu sisi tu,na kama wanaona kauli za sisi,wao si nzuri ba na waiache serikari Ya muungano isimamie kila kitu kinachohusu muungano kwa yale mambo Ya muungano .
Pia Kuna haja Ya kujadili huu muungano wenyewe kwani sioni haja Ya kuwa na serikalini mbili eti Ya zanzibar inasimamia yasiokuwa Ya muungano! Kwanini tusiwe na serikali moja tu kwa nchi moja, la sivyo tunaitaka tanganyika yetu.Tunasherehekea miaka 50 Ya uhuru wa tanganyika wakati nchi yenyewe haipo na haina serikali, tuandae sherehe za miaka 46 Ya tanzania na zanzibar washerehekee yao kwa sababu ndizo nchi na zenye serikali,tanganyika ilijifia. Bila kutoka nje Ya mada,kama zanzibar wanataka kuhusika nusu kwa nusu kwenye huu mchakato basi lazima tuifufue Nchi yetu Tanganyika.

Nipo tayari kusahihishwa.
 
ukiacha marekebisho Ya utaratibu wa kupata wajumbe wa tume,kutoa hadidu za rejea,jinsi Ya kupata na kuwalinda makatibu wa tume, jinsi Ya kuchagua wabunge wa bunge la Katiba na mahali pa kuwasilisha ripoti ambavyo kwa maoni yangu vinajadilika Kuna vitu ambavyo kama wazalendo ni vya msingi na ndivyo hivyo mswada unasema havijadiliki(usidanganywe kuambiwa jadili kwa mlango chanya,maana yake usipinge -lugha fupi Ya usijadili km ukubaliani nami) madaraka Ya raisi na uraisi kama taasisi,muungano na vyote vilivyojumuishwa pamoja kwenye ibara hiyo.serikari inabidi itambue hivyo ndiyo vinatufanya tuombe Katiba mpya, tunaomba ituache tujadili kwani haina maana kusema unatuacha tujadili Katiba mpya wakati umetengeneza njiani Ya sisi kupita,tuache tutafute njiani yetu.

Kama sikumuelewa vibaya prof shivji Ya kuwa Katiba ni makubaliano Katiba Ya watawala na watawaliwa ya jinsi Ya kuendesha taifa lao na ili upate uhalali inabidi utaratibu huo uandaliwe na watawaliwa,na kwamantiki hii hii alihitimisha kwa kusema Tanzania haijawahi kuwa an Katiba kwa sababu zilizopo zimendaliwa na watawala na si watawaliwa. Na kama hatutajipanga tutaludia makosa yaleyale na itakuwa aibu kubwa.
SIshawishiki kuwa serikali inatuma ujumbe kwa raia kuwa inabidi tuipigania kama tunaitaka Katiba bora na si bora Katiba.

k
 
Kamwe wazanzibari wanaotuita sisi machogo hawawezi kutuamlia mstakabari wa taifa letu ,hawawezi kututungia sheria mama yaani katiba ya nchi tunaitaka Tanganyika yetu hatumng'unyi maneno ,Katiba itawezeshwa na wananchi wenyewe sio kikundi kidogo cha watawala na chama chao cha CCM,ni heri tufe wote tukipigania heshima ya utu wetu,nafsi zetu na utaifa wetu hauwezi kuwekwa rehani kwa mabishoo wa Zanzibar
Wao sasa wana nchi yao,katiba yao,wimbo wao wa taifa ,bendera yao yote haya wameyafanya bila kushirikisha watanganyika leo hii Kikwete anakasimisha uandaaji wa uratibu wa uandikaji wa katiba kwa wazanzibari haya ni matusi ya nguoni
 
Leo Lisu umesema ukweli ambao hata wana CCM wameukubali japo hawajionyeshi. Ni Kwa nini wazanzibari wawe wanakuwepo kwenye vikao visivyohusu Muungano? Nauchukia Muungano

Mwisho wa yote ni serikali tatu ...Zanzibar wameshajipanga na wanajua wapi mtaangukia...Political game , Zanzibar is always ahead.
 
Back
Top Bottom