Wadau wa masuala ya uchapishaji, lazima nikiri kwamba baada ya kusota sana mtaani nimeamua kuumalizia muswada wangu kwa nguvu zote!!Muswada ni wa riwaya, ambayo naamini iko poa na i hope penye wasomaji wa riwaya inaweza kubamba ile mbaya!! Ni riwaya, lakini zaidi ya riwaya kv nimezungumzia issue kibao ambazo niliamua kuziwasilisha katika mtindo wa riwaya. Jina la riwaya ni HUJUMA, na ni full hujuma in Politics, Corruption, economic issues na mengine kama hayo. Swali kwa wadau ni kwamba, pamoja na kutaka kuwasilisha hisia zangu kwa jamii, lakini MKWANJA ni muhimu vilevile! Sasa je, riwaya zinalipa kidogo zikiingia sokoni? Mnazani ni Publisher gani mzuri ambae naweza kumpelekea( it's my first time)? Muswada una pages nyingi mno kwa msomaji wa kibongo, (about 300 pages), je mnazani publishe wanaweza kuwa tayari kwa muswada mrefu hivi?In addition, nataka kwanza nikausajili COSOTA (Sina hakika kama nimepatia, but i mean kwa watu wa haki miliki), kabla ya kuupeleka kwa Publishe, sasa je, hawa COSOTA ofisi zao zipo wapi?
Looking foward for your assistance!
UJUMBE: Tusome riwaya za kibongo tuwezeshane!
Looking foward for your assistance!
UJUMBE: Tusome riwaya za kibongo tuwezeshane!