Joss
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 765
- 191
Kuahirishwa kwa mswada kutamaanisha jambo moja tu kwa CCM na CCM-B, CDM na wanaharakati wameshinda. Hii itakuwa ni aibu kubwa sana kwa sababu wamewaponda sana na kuwadharau. Itaonesha kuwa wabunge hao wa CCM A,B walikuwa wanachangia jambo wasilolielewa.
CCM itaonekana imeogopa madhara ya maandamano yasiyo na kikomo, maana inaweza ikawa ndiyo mwanzo wa kuuondoa utawala dhalimu ulioiba kura. Kwani hata rais mwenyewe hajui kama askari wote watalalia upande wake.
CCM itaonekana imeogopa madhara ya maandamano yasiyo na kikomo, maana inaweza ikawa ndiyo mwanzo wa kuuondoa utawala dhalimu ulioiba kura. Kwani hata rais mwenyewe hajui kama askari wote watalalia upande wake.