Ni ndoto za Alinacha. Katiba ikitoka ndivyo sivyo, wapinzani wataingia Hoteli ya Magogoni kirahisi na kukomalia humo. La kusikitisha, waliobeza hatua za CDM za kuweka mambo sawa sasa watakuwa wa kwanza kuleta ghasia. Tumeyaona hayo Malawi, Zambia na Kenya. Muhasham Kardinali kaweka wazi hatua za kuchukuwa sasa.
Hilo haliwezekan...hata wakipita kuchukua maoni tutawasusie..ili ccm wakamalizie mchakato waliouanzisha........je walikuwa wanamtafsiria raisi?kama ni hivyo wakamalize wenyewe....tutawasusia kama tulivyosusa kusheherekea uhuru wa miaka 5o ya t.bara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.