Jamani mwenye uelewe ama muswaada wenyewe kuhusu Wauguzi na Wakunga kama ulivyojadiliwa leo Bungeni naomba atumwagie japo kwa muhtasari. Hasa implications zake katika suala zima la huduma za afya kwa jamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.