URASSA THE DON
Member
- Oct 12, 2010
- 70
- 7
Jamani wadau wezangu naomba kuuliza ofisi za mfanyabiashara sabodo zipo sehemu gani???? Naomba kujuzwa tafadhali
Nkurumah na Uhuru, kwenye mnara wa saa (Clock Tower). Wakala wa Hisense.
Unataka kwenda kumtia mzinga? maana wa Tanzania kwa umatonya hatujambo.
Ana mpango wa kumpeleka Mabwepande huyo.Nkurumah na Uhuru, kwenye mnara wa saa (Clock Tower). Wakala wa Hisense.
Unataka kwenda kumtia mzinga? maana wa Tanzania kwa umatonya hatujambo.
Naomba kujua taarifa ya kamanda wetu DR Ulimboka huko aliko wana jr