mnaojua alifanya procedure gani akapungua? inaitwaje?? wapi inapatikana hapa nchini??? shilingi ngapi hapa nchini??? na nje wapi inapatikana??? price ina range shilingi ngapi??? nataka nifanye wadau....msaada kny tutazzz,......:sleepy:
Sasa ww kwa nini unataka ya Mustafa?
Acha majungu, google hapo how to loose weight. Hapa nchini tunahangaika kuzuia vipindupindu na kutibu malaria, vitambi sio priority!
kuna mtu wake hapa kaniambia eti japo kapungua lakin ana nyama inaninginia due to shrinking uwa anaibana na kuifunga kwenye kiuno. So kuna effects zake pia
kuna mtu wake hapa kaniambia eti japo kapungua lakin ana nyama inaninginia due to shrinking uwa anaibana na kuifunga kwenye kiuno. So kuna effects zake pia
mnaojua alifanya procedure gani akapungua? inaitwaje?? wapi inapatikana hapa nchini??? shilingi ngapi hapa nchini??? na nje wapi inapatikana??? price ina range shilingi ngapi??? nataka nifanye wadau....msaada kny tutazzz,......:sleepy:
labda kuna alofanya kama yeye.....:A S-baby: