Wadau habari zenu, naomba msaada wenu, hivi huyu mustafa ametumia kitu gani mpaka akapungua kiasi hiki (weight) cuz watu km hawa ndio vioo vya jamii inashangaza kuwa hawazungumzi ukweli juu ya maisha yao as a role model
mbona namuona ananenepa taratibu!!
Amekunywa oili chafu akaharisha mafuta yote mwilini mwake