Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Genre yake ni ipi? Action,thriller or comedy?
Cast yake ina akina nani?
Pia angalia NO ESCAPE ni mpya nzuri sana kama hii ya Agu
Genre yake ni ipi? Action,thriller or comedy?
Cast yake ina akina nani?
Kaka tizama hiyo kitu, come and give out yo opinions.
Hii muvi kali toka nukta ya kwanza mpaka nukta ya mwisho japo ndefu kidogo..
No Escape Ni bonge la muvi mkuu, itafute hutajutia bando lako.Haswaa. Embu nijuze kuhusu NO ESCAPE ndugu
Nimemaliza kuicheki hii 'Beast of No Nation' ni nzuri sana na dogo Agu kapatia sana. Nimeipenda ipo vizuriAgu ni balaa
Beats of no nation. Must see movie.
Itabidi niitafute hii nafikiri itanifaaDo you believe ?
Kwa wale ambao imani zao ndogo kuhusu mungu hii ina wahusu
Am watching it now but imeanza kunisononeshaSikupenda ilivyoishia
Nimemaliza kuiangalia Jana usiku kweli imenigusa sana. Nimekuja kugundua wazungu wengi ishu ya uwepo na ushawishi wa Mungu juu ya mambo yanayotutokea, hAwaamini hata chembeDo you believe ?
Kwa wale ambao imani zao ndogo kuhusu mungu hii ina wahusu
Nimemaliza kuiangalia Jana usiku kweli imenigusa sana. Nimekuja kugundua wazungu wengi ishu ya uwepo na ushawishi wa Mungu juu ya mambo yanayotutokea, hAwaamini hata chembe
Na nilipenda zaidi pale Joe alipoonyesha imani kwa matendo zaidi kwa kuwakarimu Lily na mamake, so touching kwa kweliHumo makabisani wengi wao ni watu weusi ndio wameshika dini wazungu wao Imani ndogo sana
Ile movie kwa mwaka 2015 naweza kuiweka katika top 10 zangu ni nzuri sana ijapokua mimi ni muislam ila naamini ujumbe mle ni mmoja tu ni kuhusu uwepo wa mungu...
Na nilipenda zaidi pale Joe alipoonyesha imani kwa matendo zaidi kwa kuwakarimu Lily na mamake, so touching kwa kweli
Na mm japo kuwa ni mkristo hakuna movie naipenda Kama "My name is Khan" ya Sharukh Khan.Humo makabisani wengi wao ni watu weusi ndio wameshika dini wazungu wao Imani ndogo sana
Ile movie kwa mwaka 2015 naweza kuiweka katika top 10 zangu ni nzuri sana ijapokua mimi ni muislam ila naamini ujumbe mle ni mmoja tu ni kuhusu uwepo wa mungu...
Huezi amini hii muvi Ni ya kitambo lakini sijawahi kuiangalia. Mara zote ninapotaka kuidownload nakutana na yenye lugha ya kihindi basi naishia kuachana nayo.Na mm japo kuwa ni mkristo hakuna movie naipenda Kama "My name is Khan" ya Sharukh Khan.
Inafundisha mengi hasa juu ya how watu wenye maslahi fulani wanaweza kutwist maandiko matakatifu ili watimize makusudi yao.
Recently tumeshuhudia watu wakitumia bible kulala na wake za watu kisa tu wanawaombea.
Mi nilipenda pale yule doctor alivyorekodi kifo cha Joe afu baadae anakuja kuitwa jamaa kafufuka hakutaka kuamini maswala ya miracles yeye anakomaa na scientific theory zake tuMe nilipenda pale 12 souls zilipokutana kwenye ile ajali duh best scene ever!!! Na alivokufa yule pretty boy so sad kwa kweli
Idownload mkuu ina subtitle ya kiingereza. Hutojuta.Huezi amini hii muvi Ni ya kitambo lakini sijawahi kuiangalia. Mara zote ninapotaka kuidownload nakutana na yenye lugha ya kihindi basi naishia kuachana nayo.
Ntajitahidi kuitafuta kwa kweli