Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Mshambuliaji wa Simba Mgosi ambaye ameambiwa wazi kiwango chake kimeshuka na hahitajiki kwenye kikosi cha kocha wa Simba Mganda Moses Basena, ametoa masharti mazito kwa timu inayomuwania ya Villa Squad.
Kwa mujibu wa gazeti la Dimba leo amotoa masharti yafuatayo;
1. Anataka katika mkataba wake awe anafanya mazoezi jioni tu,
2. Acheze mechi za Dar pekee na si zitakazo kuwa zinachezwa mikoani
Kwa mtaji huu na kama hawa ndio wachezaji wa kutumainiwa na kutegemewa timu ya taifa hatutafika popote miaka nenda rudi, yaani mchezaji umeshuka kiwango unatoa masharti kama haya...
Kwa mujibu wa gazeti la Dimba leo amotoa masharti yafuatayo;
1. Anataka katika mkataba wake awe anafanya mazoezi jioni tu,
2. Acheze mechi za Dar pekee na si zitakazo kuwa zinachezwa mikoani
Kwa mtaji huu na kama hawa ndio wachezaji wa kutumainiwa na kutegemewa timu ya taifa hatutafika popote miaka nenda rudi, yaani mchezaji umeshuka kiwango unatoa masharti kama haya...