Watu kadhaa wamefariki mkesha wa pasaka na wengine wengi kujeruhiwa kwa mapanga huko musoma!Jamani huko musoma kuna utawala gani?mbona matendo ya unyama hayaishi?source ITV news
Watu kadhaa wamefariki mkesha wa pasaka na wengine wengi kujeruhiwa kwa mapanga huko musoma!Jamani huko musoma kuna utawala gani?mbona matendo ya unyama hayaishi?source ITnews
Sasa hawa ndugu zetu Wakurya kama wameamua kuishi hivyo, let it be so! Ukipanda mahindi, utavuna mahindi. Utawala ufanyeje. Uweke askari police kwa kila raia kwa ajili ya ulinzi?