maliki marupu
Member
- Nov 5, 2011
- 8
- 0
Wakati chuo kikuu cha waisla kinaanzishwa watu wengi hawakuwa na matumaini kuwa chuo hicho kingeweza kupata uongozi makini ambao ungepelekea wanachuo kusoma na kuhitimu masomo yao.hii ni kutokana na ukweli kuwa taasisi nyingi za kidini zimekuwa chini ya migogoro.hali hiyo iliperekea sintofahamu kubwa juu ya hatma ya chuo hicho kitaaluma.lkn hali ilikuwa tofauti kwani tangu chuo kimeanzishwa idadi ya wanafunzi wanaodahiliwa imeongezeka kwa kasi kutoka kutokana na kiwango cha hali ya juu cha wahitimu hao wanaotoa changamoto za kitaaluma ndani na nje ya nchi.pia ni uimala mkubwa wa vc pr.njozi kwa kuhakikisha anatenda haki za msingi kwa wanafunzi wote bila kujali dini zao nakumbuka mwaka 2007 pr.njozi alizungumza na wanachuo na kuwaambia "utakuwa umetenda kosa sana kama hautojiainisha kuwa wewe ni dhehebu gani ili utendewe haki zako za msingi" kauli hiyo inathibitisha uhakika wa kulinda na kuheshimu imani ya mtu kwa mujibu wa kanuni na taratibu zilizowekwa.pia chuo hicho kimeweza kutoa wahitimu walioweza kugombea ubunge udiwani na wengine kulitumikia taifa ktk kada mbalimbali za kitaaluma.uwezo huo hauwezi kufikiwa bika kuwepo na tija na kujituma.hili hiyo imefikiwa kama vyuo vya dini kam st.augostine nawashukuru sana 0712099058