Hujaeleweka mkuu...sijui ni bichwa langu binafsi lina shida?!Music system za kizamani...
View attachment 19141
VS
System za kisasa (home theater)...
View attachment 19140
zinapatikana madukani jamni khaa:whoo::whoo:
wabnataka hadi namba ya simu ..tuwape ya china nini
Kwanza Music system za kizamani labda ungeweka kitu ilikuwa inaitwa gramophone, kama hii hapa, ndo ningekuelewa
: