elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
Rkay ni shida yule jamaa anatokea Rwanda lakini anaishi kenya. Anajua kutumia vyomba kuanzia ngoma guitrr keyboard trumpet sio kama producers wetu.Perfect Combo, producer ni RKay ni jamaa mmoja kutoka Kenya, yupo kwenye Industry kwa muda mrefu sasa, na anafanya vizuri pia
Katengeneza ngoma nyingi heats huyu jamaa