Music producers wakali kwenye bongo fleva kwa sasa

Perfect Combo, producer ni RKay ni jamaa mmoja kutoka Kenya, yupo kwenye Industry kwa muda mrefu sasa, na anafanya vizuri pia
Rkay ni shida yule jamaa anatokea Rwanda lakini anaishi kenya. Anajua kutumia vyomba kuanzia ngoma guitrr keyboard trumpet sio kama producers wetu.
Katengeneza ngoma nyingi heats huyu jamaa
 
Been waiting for this kinda topic for quite some time. Music industry as a whole imekuwa nchini ila music production imeonekana kutopiga hatua kabisa namaanisha kabisa. Audio quality zetu ni mbovu haziendani na audio quality za miaka ya Leo duniani.

Producers na wasanii wawekeze kwenye music production kama wafanyavyo kwenye video. Music industry kama bongo movies; producer huyo huyo, sound engineer huyo huyo, mastering inafanywa na huyo huyo, beat imetengenezwa na huyo huyo. Kuna watu wanao uwezo wa kufanya vyote kwa ufanisi ila isiwe kila wakati ili kulinda quality ya production.

Matumizi ya drums kwenye kila wimbo sasa inaboa. Dayamondi nae kila wimbo anatumia tarumbeta hadi inakera. Inabidi tubadilike kuleta ladha tofauti.

Leo kuna hi-fi sound ila kwenye muziki wetu ni kama msamiati mpya. Ukisikiliza nyimbo za bongo kwenye headphones au loud speaker husikii tofauti yeyote sana sana quality ndiyo inakuwa mbaya Zaidi. Hii inatokana na audio zetu kuwa na ombwe in the background (for lack of a better term). Tuongeze matumizi ya synth pia.

Kuna mvuto wa pekee kwenye intro na outro kwenye music na zamani tulitumia vyema kwneye hili ila miaka ya Leo naona imepotea wakati Bado ni kitu cha muhimu kwenye music. Producers wakubwa kama kanye West anatumia sana hii trick na ndiyo sababu ya kuwa among best producers kwa muda sasa. Ni kawaida muziki wetu siku hizi kuanza na kuisha ghafla tu as thou producer alikua na haraka smh. Muziki wa taratibu unakosa harmony kitu ambacho ni muhimu sana kwa aina hiyo ya music. Kudos to Ali Kiba kwa wimbo wake wa Aje naona alizingatia hilo na wimbo umetoka bomba kweli japo sijui nani alisuka ile production

Pamoja na yote hayo naamini tukiamua tunaweza kama ambavyo wasanii waliamua kuwekeza kwenye video na kuweza. Wimbo kama Gere produced by Nah reel by far ni moja kati ya production nzuri za hivi karibuni. Producers wetu wasichoke kujifunza na kuwekeza kwenye vyombo na sound engineering. Wasikilize productions za producers wakubwa na wenye mafanikio kama Kanye West/Mike Dean na kufonzya maarifa zaidi pale wanapopwaya.
Aje ni mkono wa Abydady...
Kiukweli ngoma nyingi quality ni mbovu, mi naona angalau miaka ya 2000 enzi za akina Pfunk, Mika, Bizman, Mwamba, Said Comoriely na wengine ubora ulikuwa unaridhisha tofauti na sasa!!
 
Tukisema tuweke ushabiki pembeni Tanzania mtengeneza beat iliosukika katika kila idara ambayo hata ukisikiliza kwenye i.e mziki mkubwa, earphones, headphones quality haipotei bado hajawahi kupatikana ili uweze kuinelewa pata reference ya i.e viva forever - spice girls, Team - Iggy Azaelia, Top Back - T.I etc etc

Wewe unachanganya beat making na mastering, ni vitu viwili tofauti.
 
Aje ni mkono wa Abydady...
Kiukweli ngoma nyingi quality ni mbovu, mi naona angalau miaka ya 2000 enzi za akina Pfunk, Mika, Bizman, Mwamba, Said Comoriely na wengine ubora ulikuwa unaridhisha tofauti na sasa!!

Nakuunga mkono Mkuu. Ukisikiliza beat za zamani ingawa zilikuwa sub-standard lakini zilikuwa na taste. Siku hizi mmh ...
 
Rkay ni shida yule jamaa anatokea Rwanda lakini anaishi kenya. Anajua kutumia vyomba kuanzia ngoma guitrr keyboard trumpet sio kama producers wetu.
Katengeneza ngoma nyingi heats huyu jamaa

Mmeambiwa Bongo fleva. Nyie ndio huwa mnafeli mtihani kwa kuvamia maswali bila kusoma maelekezo.
 
Yule producer wa SEI Records ni nani vile???
Jamaa huwa namuelewa sana kwa beats zake hatari...ingawa hatrend sana ila anaweza!

Tukizungumzia the real legendary producers hapa bongo huwezi acha hivi vichwa.
1.P Funk Majani na baadhi waliofanyia kazi ofisi yake!
2.Roy (R.i.p)
3.Mika Mwamba

Halafu ndio watafuata wengine, binafsi Master J anajitahidi ila namuona kama anaotea otea coz kuna baadhi ya kazi huwa anazilipua zingine nzuri. Fuatilia beats za Mr.Nice ndio utanielewa vyema!
 
Hii thread imenikumbusha kua nimezeeka sasa duh maana ambao mimi nawajua kua ndio wapishi wakali wote hawapo..... Uwiiiiii uzee ni shida.
 
Hao mi kwa kweli hawajawai kunishawishi mi kwangu producers wakali wa mda wote hata Kama hawafanyi mziki kwa sasa.
1. P funk
2. Mika mwamba
3. Master J
4. Roy
6 Enrico
7 Marco chali
8. Ludigo
9. Kameta
10. Comorien.
Na wengineo wazamani....
 
wanajitahidi sana wengi wao.. tatizo sugu ni kwality ya music..
inaonesha watu wa mixing hawako makini kidogo.
nyimbo mpya ya roma verse mbili za mwisho hazina kabisa ubora...
ukitaka kujua ni ubora gani fanya haya yafuatayo...
download wimbo 'wrecking ball(acoustic)' wa miley cyrus.. then uusikize kwenye earphones za uhakika.. do utajua ubora upi naouzungumzia
 
Back
Top Bottom