Mtanzania Mkenya
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 238
- 386
1. Nahreel
2. Mr. T touch
3. Manecky
4. Imma The Boy
5. Marco Chali
2. Mr. T touch
3. Manecky
4. Imma The Boy
5. Marco Chali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu greatest of all time kwenye beat ni ta Mika Mwamba aliyompa Inspector Haroon free boat yaani mtito wa geti kali.Beat zao wanazozitengeneza kali lkn mpaka sasa hamna beat kali itakayo izidi NIKUSAIDIEJE ya Prof jay na MIKASI ya ngwea, majani alikuwa hatari.
You have a point, ila hoja yako ina base kwenye mastering ambayo pia inahusisha sound engineering... Kwa bongo sababu ya gharama ni kama hamna ila binaweza kufanyika.Tukisema tuweke ushabiki pembeni Tanzania mtengeneza beat iliosukika katika kila idara ambayo hata ukisikiliza kwenye i.e mziki mkubwa, earphones, headphones quality haipotei bado hajawahi kupatikana ili uweze kuinelewa pata reference ya i.e viva forever - spice girls, Team - Iggy Azaelia, Top Back - T.I etc etc
siku nyingine soma kichwa cha habari ukieleweWapi producer mika mwamba?
Kwani mika mwamba kwa sasa sio producer?siku nyingine soma kichwa cha habari ukielewe