Hii unaweza kudhani ni kituko lakini ni kweli.Rais wa Uganda ameliomba bunge la nchi hiyo na hatimaye kuridhia ateue mawaziri 76.Alipokuwa anahojiwa na Idhaa ya BBC leo kama haoni kitendo hicho ni ufisadi wa wazi bila kumung'unya maneno Museveni aling'aka na kusema kwake yeye idadi ya mawaziri sio tatizo.Bila aibu alisema marekani wizara moja tu ya mambo ya nje ina mawaziri wa nchi 10.Akahoji ni nini cha ajabu Uganda??
Nilishtuka na kusema Mungu aepushilie mbali tusije Tanzania kujiingiza kichwa kichwa kwenye shirikisho la kisiasa na watawala wa aina hii.Ni bora tubaki na mama yetu Tanzania vinginevyo tutajatawaliwa na madikteta wa kutupwa...........
Nilishtuka na kusema Mungu aepushilie mbali tusije Tanzania kujiingiza kichwa kichwa kwenye shirikisho la kisiasa na watawala wa aina hii.Ni bora tubaki na mama yetu Tanzania vinginevyo tutajatawaliwa na madikteta wa kutupwa...........