Museven Punguza Ubabe Kha!

Duduwasha

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
5,703
3,653
Demokrasia ya Uganda hata siielewi na inaelekea kuwa Egypt mpya kwani wananchi hawaruhusiwi kuandamana na wakiandamana wanapigwa wanakamatwa hadi majumbani mwao na wanajeshi, hadi imeanza kuoneshwa kwenye tv za dunia nzima uonevu huo. watakuchoka uwe kama gabgo. oh!

sasa museven uugwana weka mbele unganisha nchi yako kama maisha unayo ubabe ukatiri wa kazi gani watu wanapinga sababu wana maisha magumu.
uwachalaze uwapige mabomu nini sasa au nawe unataka uitwe Iddi Amini wa pili dadake nakutahadharisha unaelekea kwenda kula nyama za watu oh!
 
DEMOCRATIC Party (DP) president Norbert Mao and six other party members yesterday declined bail and were sent to Luzira Prison as the Police arrested over 100 people over the walk-to-work protests.

Mao and his co-accused, who included the party deputy spokesperson, Kenneth Paul Kakande, John Mary Sebuwufu, Kamya Kasozi, Moses Bigirwa, Kintu Elvis and Taddeo Kalule, were charged with assault and inciting violence.

They were charged at City Hall Court before Grade One Magistrate Juliet Hatanga.

Each of the accused pleaded not guilty and opted to be taken to prison, saying "the charges were trumped up".

Prosecution said yesterday at Ntinda, a Kampala suburb, the accused assaulted a Police officer, Sgt. Yusuf Bayise, and "occasioned actual body harm" on him contrary to Section 237 of the Penal Code Act.

Prosecution further reported that in the same area, the accused, "without lawful excuse", incited others into violence by fronting their political opinions.

Hatanga informed them of their constitutional right to bail but they declined, saying it was an option they desired. Their lawyer, Samuel Muyizzi, reiterated their opinion, saying he had not received instructions to apply for bail.

Accordingly, Hatanga remanded them until May 2.
 
fdc7.jpg
 
Hawa viongozi wababe wababe wote zamu zao zinafika na itakuwa kama ivory coast
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom