Musasira: Maandalizi ya Mitihani ya Bodi Kwa Module E&F yameanza!!!!!!!!!!

Mwamakula

JF-Expert Member
Nov 7, 2010
1,890
382
Kwa wale wanaotaka kufanya mitihani ya Bodi Nov 2012 .Mafunzo yamesha anza kwa module E&F katika kituo cha Apt Financial Consultant Kwa mkoa wa Dar es salaam na Arusha.
Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu wanaohitaji huduma hiyo wanaweza kuwasiliana kwa simu 0754 224224,0655 224224, 0785 224224 .

Tunapenda kuwashauri kuwa ni bora kufanya mtihani Mwaka huu kwani zipo taarifa kuwa huenda kukawa na mabadiliko mwakani.
Tunakutakia Maandalizi mema!!
 

Attachments

  • cpa advert 2012N.pdf
    298.6 KB · Views: 88
Kwa wale wanaotaka kufanya mitihani ya Bodi Nov 2012 .Mafunzo yamesha anza kwa module E&F katika kituo cha Apt Financial Consultant Kwa mkoa wa Dar es salaam na Arusha.
Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu wanaohitaji huduma hiyo wanaweza kuwasiliana kwa simu 0754 224224,0655 224224, 0785 224224 .

Tunapenda kuwashauri kuwa ni bora kufanya mtihani Mwaka huu kwani zipo taarifa kuwa huenda kukawa na mabadiliko mwakani.
Tunakutakia Maandalizi mema!!

Mitihani ya Bodi maana yake ni nini. Si wote wamesoma huko ulikosoma wewe. Kuna bodi nyingi eg: Bodi ya pamba, kahawa, etc. Now, mitihani ya bodi - what do you mean sir/madam?
 
Bila shaka ni Mitihani ya NBAA kwa wale Wahasibu wanao somea CPA ( Certified Public Accountant)
 
Mitihani ya Bodi maana yake ni nini. Si wote wamesoma huko ulikosoma wewe. Kuna bodi nyingi eg: Bodi ya pamba, kahawa, etc. Now, mitihani ya bodi - what do you mean sir/madam?

katalina, ukiona hujaelewa ujue halikuhusu.
Mtoa mada, mafunzo yanagharimu sh ngap?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mitihani ya Bodi maana yake ni nini. Si wote wamesoma huko ulikosoma wewe. Kuna bodi nyingi eg: Bodi ya pamba, kahawa, etc. Now, mitihani ya bodi - what do you mean sir/madam?

katalina, ukiona hujaelewa ujue halikuhusu.
Mtoa mada, mafunzo yanagharimu sh ngap?
 
Last edited by a moderator:
Gharama za Mafunzo zipo kwenye attachment lakini yupo mhusika anaitwa Bi Johani Mpigie simu 0715482070.
Anatoa Ushirikiano hata kama upo mikoani atakupa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom