Hiyo nayo ni njia mojawapi ya kuonesha kuwa umma una nguvu kubwa ajabu. Lakini ki ukweli hii ni adhabu mbaya sana kama kila atakaye kutana naye atampigia mayowe ya mwizi. Hii ni adhabu mbaya nadhani kuliko zote maana atakuwa amekataliw na kila mtu anaye kutana naye. Msishangae mkasikia kajiYuda Isikariote.
Huyu huyu mussa mkanga ndiye aliyemshtaki makongoro nyerere akamvua ubunge kwa tiketi ya Nccra mageuzi.kazoe inatakiwa afanyiwe kweli yeye na familiya yake.lema alikuwa anasomesha watoto zaidi ya 200 yatima.haijawahi tokea kwa mbunge yoyote wamagamba.mkanga yeye akiwa diwani aliuza viwanja vya wazi vyote vya manispa arusha,mwenye gari,mwenye toyo yeyote akimuona amgonge.
Katika pitapita zangu mitaa ya a town nasikia huyu bwana na wenzake wawili waliomshtaki lema wanatafutwa na machali awaeleze kwanini wamemsababishia mbunge wao aangushwe! . Sorce, mimi.
Kwanini asutumie haki hiyo kufungua kesi dhidi ya mafisadi??Katumia haki yake ya kiraia na kikatiba yupo
sahihi,Lema awe careful na kinywa chake.
Kwanini asutumie haki hiyo kufungua kesi dhidi ya mafisadi??
ninavyoijua arusha inabidi huyu jamaa apewe ulinzi wa ziada.