Nashawishika kuamini humu great thinkers ni wachache,ila kuna makundi ya watu yanayopigia chapuo watu wao kisiasa. Post zimekua ni za majina ya watu badala ya hoja za kichama au kitaifa.,asubuhi utasikia musa tunamkubali bila hata alilofanya kwa taifa hata chama chake,mchana utasikia siri nzito ya rose, jioni 2015 ni ya Juma...tukiamka kesho Hamis namkubali anakila sifa ya kua kiongozi ameweza anathubutu...jiulize sasa anathubutu nini eti kuongea magazetini na majukwaani wakati umeme taabu,maji shida,kazi hakuna,mikopo wanafunzi wanalia, vijinini kwetu hali ngumu na mengi mnayajua bana...Na tena angalia vizuri wachangiaji wakusupport post hizo za watu ni wale wale utaona Mangi232, mara rafikki1, mara popo sijui popoo. JAMANI maneno ya wazee yanabusara hata kama wanamakosa mkapa,kikwete,butiku na warioba wamesema vijana tufanye kazi tusikazane na mbwembwe za siasa majukwani na fitina za kimaslahi tunaliua taifa letu. Angalia utashia kua masikini siku nzima unakesha una post na kumbe wenzio wanaopost majina yao maana ndio mtaji wao wa maisha wangekua wanadhubutu au kuweza si wangeweza kwingine bila kua viongozi mbona kutwa vijembe na mashindano ya nani mkali na nani anapata publicity kubwa. What's hell is this???. Hata mwalimu alipigania haki na wengine walimsupport sasa sisi kila kijana sasa anataka yeye ndiye awe mpigania haki na hataki kumsupport mwingine...kuna kitu hapo?jiulize.
Wanaofaa wametulia sana tuu kwa taarifa yenu na wapo humo humo CCM na CDM.
Tujadilini hoja za taifa bwana na sio majina ya watu banaa kha mnabore sasaa.
Sourceolitical analyst.
Wanaofaa wametulia sana tuu kwa taarifa yenu na wapo humo humo CCM na CDM.
Tujadilini hoja za taifa bwana na sio majina ya watu banaa kha mnabore sasaa.
Sourceolitical analyst.